masharubu
Senior Member
- May 5, 2010
- 155
- 10
Hivi hili la kuchangia chama sheria ya rushwa inasemaje naiona nayo ni kama chama kinapokea rushwa kwa wanachama wake, hivi kwa ukata huu mtu achangie kukipa chama mamilioni kweli hataangaliwa kwa jicho la huruma, pia hii ni janja walitaka kuwajua watu wao wa kweli ni wapi, jamani msichange hata thumni kwa ccm, wametunyonya kiasi cha kutosha kodi za majengo na viwanja za mipira kama kirumba,mkwakwani,shehe amri abeid, kambarage, nk zinaenda wapi?