gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
kama ni kwa kupangana sawa ila ukweli recho bado na kwakupa tuzo hii wanamdumaza kifikra pasi yy kujua. Sion mantiki ya kusema eti kwasababu ni tht basi wapokezane utafikiri wanakimbia relay??boss wote hao ni wasanii wa tht. Wakubwa walishawapanga na ndo maana hata jukwaani wanaenda wote kuchukua tuzo.