kinachoendelea nn sasa hivi maana nimebadili channel nacheki taifa stars na morroco
Chanel gani mkuu? mana jamaa wanabore sana!
tbc wanaonyesha mkuu! bila bila badoChanel gani mkuu? mana jamaa wanabore sana!
maadam wewe endelea kutupa update za kikwetukwetu!usikimbie bana tupeanepo kampani hapa itv kwanza manake naboreka lk nataman kuona mwisho wa KIKWETU KWETU
mkuuu umemuona huyu mzee wa bendi nani huyu aliayeuguaga hadi ikasemekeana anangoma na jeneza wakamchongea anaimba wimbo wa tid yaani kauimba vby hadi hasira wimbo wa zezemaadam wewe endelea kutupa update za kikwetukwetu!
mkuuu umemuona huyu mzee wa bendi nani huyu aliayeuguaga hadi ikasemekeana anangoma na jeneza wakamchongea anaimba wimbo wa tid yaani kauimba vby hadi hasira wimbo wa zeze
sasa hapa zahir zorro anaimba kikulacho yani wamewachagulia nyimbi ambazo haziendani nao kabisa,,,,,,,,,,,,,,,sijui ni nini hiki
pamoja sana mkuu!
Naona charles baba kachukua tuzo 3 mpaka sasa. Na rapa wake naye kapata tuzo moja,
si unaona tena mashujaa band imekuwa band bora ya mwaka?? Najiuliza hivi kwanza nani ana mkono kwenye hii band??
Superman utaona hapa kwenye wimbo bora wa zouk........sijui kwann recho kapewa tuzo bora ya msanii bora wa kaike wa mwaka. Hivi kweli mwasiti hakustahili??
bendi ya wema sepetu hiyo