Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 6,376
- 15,172
poleni askari,
Halafu huo mteremko una Kaburi hapo mwanzoni kabisa kama vile ni "alama ya kukukumbusha Kifo" unapoingia eneo hilo ukitokea Moshi mjini. Hao Polisi walisahau??Aisee hatari, ni pale mteremko wa darajani kikavu?
Wamekufa wangapiGari ya polisi imepata ajali mbaya hapa kwenye mteremko wa kwa sadala wllayani Hai, baada ya kuvaana uso kwa uso na FUSO
Sio toto la Mbowe kweliHapo Hai Wagombea ni nani?
I bet mumeo ni askari..pole sana mkuuKila siku migonjwa ya akili inazidi kuongezeka, ajali nayo ni ya kufurahia, mwanzo nilifuarahia sana jf now DayZ michangiaji mingi hovyo kweli.
Hapo miaka hiyo walikufa watalii wa Kijapan wakiwa na gari ya kitalii enzi hizo 'volkswagen combi" ndio kuna hiyo alama kama kumbukumbu. Kama sikosei walikuwa wajapan takribani 6 hivi.Halafu huo mteremko una Kaburi hapo mwanzoni kabisa kama vile ni "alama ya kukukumbusha Kifo" unapoingia eneo hilo ukitokea Moshi mjini. Hao Polisi walisahau??
Kuna mwaka nivamiwa na majambazi wakanipora asubuhi nikaenda na bosi wangu kituo Cha polisi chumbageni hapo Tanga kuripoti yule askari aliekuwa kaunta baada ya maelezo akanipiga Kofi akimaanisha nimwonyeshe walipo wale majambazi maana nimeshirikianaNa ukiambiwa useme polisi wamekukosea Nini huna majibu, bali utajibu tu Yale unayosikiaga mtandaoni.
Aisee!Wamalizieni kama kuna wanao pumua kwa mbali, kimbizeni hao wa fuso hospital.
PoliCCM wangapi wamepata ajali?Gari ya polisi imepata ajali mbaya hapa kwenye mteremko wa kwa sadala wllayani Hai, baada ya kuvaana uso kwa uso na FUSO
😂😂😂Kwani uongo basi.🤣🤣🤣🤣Fala Wewe kwa mara ya kwanza umenichekesha maana umeandika uhalisia 🤣🤣
Poleni nyingi kwaoGari ya polisi imepata ajali mbaya hapa kwenye mteremko wa kwa sadala wllayani Hai, baada ya kuvaana uso kwa uso na FUSO
Ukipata tatizo unakimbilia polisiUa wote waiobaki hai.
Tena mkawatupe MTONI Kabisa hao hakuna kuwaonea huruma . Hao ni maadui wa HAKI
Haimanishi kwamba nawaamini polisi. hao ni watu wahalifu waliovishwa sare na bendera kwenye mikanda yaoUkipata tatizo unakimbilia polisi
Sawa mkuu ila jitahidi upate simu yenye camera nzuri.Gari ya polisi imepata ajali mbaya hapa kwenye mteremko wa kwa sadala wllayani Hai, baada ya kuvaana uso kwa uso na FUSO
🤣🤣🤣Sawa mkuu ila jitahidi upate simu yenye camera nzuri.
Dah Jamani naonaga sana Hilo kaburi hapo nilikuwa sijui la nani haswa,.Hapo miaka hiyo walikufa watalii wa Kijapan wakiwa na gari ya kitalii enzi hizo 'volkswagen combi" ndio kuna hiyo alama kama kumbukumbu. Kama sikosei walikuwa wajapan takribani 6 hivi.