Kilimanjaro: Polisi wapata ajali

Kilimanjaro: Polisi wapata ajali

Raia wangapi wanaenda vituoni kuomba msaada na wanapuuzwa kwa kuwa hawana chochote? Au tu kwa kuwa wanayemlalamikia ana uwezo na nafasi na hivyo huishia kupuuzwa? Hivi kwa polisi hawa mtu asiye na chochote wataka kunambia wanaweza kumsaidia?
Duuh... Wewe jamaa, hivi upo nchi gani...??!! Hii Jf naona ni nchi nyingine kabisa.
 
Duuh... Wewe jamaa, hivi upo nchi gani...??!! Hii Jf naona ni nchi nyingine kabisa.
Hao polisi waliopata ajali ni polisi wanafunzi, wananchi waliokuwa eneo la tukio wametoa msaada vizuri na kwa ushirikiano....

Njoo huku JamiiForums uone uone maoni ya wanajeshi wa mtandaoni wasiyemjua adui yao wanavyobwabwaja!!
 
Taarifa iliyotolewa ni kwamba wae waikua wanafunzi wa CCP, wote wako salama kbsaa.
 
Mungu awafanyie wepesi majeruhi wote wapate nafuu nimeshangaa juzi mkuu wao anatoa taarifa ya vitisho kama tupo Somalia matukio kama haya yakitokea wazala wanashangilia wabadilike kwa sababu nao wapo mtaani hawaishi mbinguni...
Tanzania sio Nchi ya kutishanatishana kila dakika.
 
Kweli Polisi hawakumtendea Haki. Lakini huyo polisi aliyemfukuza hapo kaunta inawezekana sio mkuu wa Kituo
Sasa mkuu wa kituo OCS ndiye yule kamchoma sindano ya sumu yule jamaa wa madini kule Mtwara unasemaje hapo?
 
Back
Top Bottom