Brain Kingdom
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 7,004
- 14,551
Ajali ni ajali tu msilete taharuki mitandaoni
Dah! Umekasirika kwel-kweli. Pole aisee. Ukitulia utagundua kwamba sio Polisi wote ni wabaya kama ulivyowaita "Mashetani hao".
Wapo Polisi wengi ambao ni watu wema tuu, ila na sisi Raia pia tunasahau kwamba Polisi wanapaswa kutii na kuzingatia Maelekezo au Amri ya Kiongozi/Mkubwa wao.
Wapo Raia wengi tuu. Huwezi kuwaorodhesha hapa. Lakini kwa mfano tu, ni pale Raia wa kawaida anapoenda kituoni kuomba msaada. Kama wangekuwa wabaya kivile hakuna Raia angekwenda kwao na Raia tungeishi kama wanyama porini i.e. mwenye nguvu mpishe. Survival of the Fittest (Rule of the jungle).Hivi unafikiri kuna Raia wa kawaida ambaye hajawahi kukosewa na hao manyang'au?
Ndio. Wapo Baadhi ya Polisi (sio wote) wanaostahili kubebeshwa hilo⤴️ lakini sio wote.Waporaji na madhulumati wa haki za watu?
Hapana. Lazima iwe Amri halali na katika Mazingira Stahiki. Kumbuka Polisi haruhusiwi kuua mtu mhalifu bali ni matumizi ya nguvu inapobidi ili kumdhibiti Mhalifu asiendelee kufanya Uhalifu au anayevunja Sheria kwa makusudi na Anakataa kutii bila Shuruti kuwekwa chini ya Ulinzi (Kukamatwa) na atatishia Usalama wa Polisi mhusika katika zoezi la Ukamataji.Kama ni hivyo hiyo kazi haifai,uambiwe ua na nawe kwa kuwa ni amri uuwe tuu?
Jambo Jema, kama wanapumua wasiwahishwe hospitali..litokee lolote baya kwao... "Kifo ni Kifo tu"Gari ya polisi imepata ajali mbaya hapa kwenye mteremko wa kwa sadala wllayani Hai, baada ya kuvaana uso kwa uso na FUSO
Hivi huwa kuna polisi waadilifu?Sasa we unashauri tuishi bila ya polisi waadilifu?
Unadhani mtaani kutakuaje au unadhani hivi ilivyo ipo tu,kwamba wahalifu wameamua kutulia?
🤣🤣🤣AiseeTusilazamishane kuhuzunika
Hapo sawa. Nature imetenda Haki na ni Haki Sawa kwa wote. Usifanye kosa la barabarani ....kufanya wrong overtake.Huo mlima hapo wao huwa hawataki kabisa gari ziovatake na ukiangalai picha ya hiyo fuso ni wazi wao walikuwa wameovateki na sifa ya fuso kukosa brake za hapo kwa papo inajulikana.
Usalama barabarani ni jukumu la watumiaji wote wa barabara na si wengine waonekane wao taratibu haziwaruhusu, wao wako radhi kukuweka ndani kwa kufanya wrong overtake.
Ni kutii maagizo Halali tena iwe ni katika Mazingira Stahiki.Sasa kazi haifai basi kama unatii maagizo hata haramu!
Fala Wewe kwa mara ya kwanza umenichekesha maana umeandika uhalisia 🤣🤣Unaweza shangaa unakwenda kutoa taarifa na wewe unakamatwa kwa kosa la kushiriki kutazama ajali na unafunguliwa kesi ya uhujumu uchumi.