Kilimanjaro: Nowhere to compare with

Kilimanjaro: Nowhere to compare with

Nyie wanywa mbege moja ya mila zenu ni kuoa dada zenu!
Na mkilewa hata shangazi yako unapitia tu!
Kwa hivyo wewe kutukana kila mara ni km kunywa chai tu!

Narudia tena kukwambia BILA CCM Nyie meno meusi mpaka leo mngekuwa mnaishi kwenye Nyumba za Matope na Mapaa ya majani.

Hamna Shukrani. Ndo maana mkaumbwa na Sura mbovu kama roho zenu.

Sisi wakazi wa mijini tunaomba Mungu Christmas ifike ili Majambazi wote waende vijiji kwao kula Christmas za mbege!

Na tukiwatia mikononi hio mijizi lzm wahare Mtori!
mkuu hapo kwenye red umeonyesha una hasira na chuki mbaya sana inayokuondoa kwenye mtanzania halisi. pia umesahau kuwa kuna wasukuma pia wanaooza meno, watu wa singida pia wanaoza meno, maeneo mengi tu watu wanaoza meno kutokana na maji wanayokunywa. mimi nimchaga lakini sijaoza meno kwasababu utotoni sijakulia uchagani. majambazi si wachaga tu, wanywa pombe si wachaga tu, watenda dhambi si wachaga tu.

however, siafiki hoja ya mtoam ada kuifanya kilimanjaro ni ya watu wa kilimanjaro tu, ile ni ya watz wote. mada kama hizi ndizo zinazofanya watu wawachukie wachaga nchi nzima, na hili linajidhihirisha na mtu kama wewe uliyepost kitu kama hiki. punguza hasira. life is too short ndugu.
 
Ardhi ya Kilimanjaro imebarikiwa na Mungu. Pamaja na serikali ya CCM kutukandamiza ila bado tumesimama kidete haki ya nani mapovu yatazidi kuwatoka na Kilimanajaro itabaki kuwa juu, ardhi ya watu wenye akili na macho matatu. Haters will still hate

Word! Word! word!
 
mkuu hapo kwenye red umeonyesha una hasira na chuki mbaya sana inayokuondoa kwenye mtanzania halisi. pia umesahau kuwa kuna wasukuma pia wanaooza meno, watu wa singida pia wanaoza meno, maeneo mengi tu watu wanaoza meno kutokana na maji wanayokunywa. mimi nimchaga lakini sijaoza meno kwasababu utotoni sijakulia uchagani. majambazi si wachaga tu, wanywa pombe si wachaga tu, watenda dhambi si wachaga tu.

however, siafiki hoja ya mtoam ada kuifanya kilimanjaro ni ya watu wa kilimanjaro tu, ile ni ya watz wote. mada kama hizi ndizo zinazofanya watu wawachukie wachaga nchi nzima, na hili linajidhihirisha na mtu kama wewe uliyepost kitu kama hiki. punguza hasira. life is too short ndugu.

Ni kweli kuna mendeleo Kilimanjaro ukilinganisha na mikoa mingine na tena hasa miaka ya 60 hadi 80 ndio kabisa tofauti ilikuwa kama vile mbingu na nchi. Lakini mikoa mingine imeanza kunyanyuka na ina uwezekano mkubwa wa kuwa na maendeleo makubwa zaidi ya Kili miaka si mingi ijayo. Shida kubwa ya Kili ni ardhi, hii ndio limitation kubwa na hiii inauweka mkoa kwenye ukomo wa ukuaji wakati mikoa mingine ina ardhi kubwa sana.
 
Niwajulishe tu Watanzania wote wasioujua mkoa wa Kilimanjaro kuanzia kina kahtaan & co.

Najua kinachowaumiza muiseme Kilimanjaro kwa ubaya ni dini na siasa..

Niwape tofauti iliyopo kati ya Kilimanjaro na mikoa mingine,
Kijiografia Mkoa wa Kilimanjaro unaeneo dogo sana, ni wapili Ukiacha Dar Es Salaam..
Una wilaya 7.. barabara zote za wilaya zilizounganishwa na Makao makuu Moshi ni za Lami.

Ukiacha Dar mtu hapa ataje mkoa wenye hili.
Mkoa wa Kilimanjaro wakazi wake vijijini wanaongoza kwa kuwa na huduma za maji na umeme..
ManDla jr njoo hapa uisemee Dodoma..

Mkoa wa Kilimanjaro regardless eneo dogo la kijiografia ndiyo mkoa wenye Shule nyingi kuliko mkoa wowote ule hapa Tanganyika na Zanzibar.

Kwa sasa barabara nyingi za tarafa haswa wilaya ya Moshi vijijini zinajengwa kwa kiwango cha lami.

Ukitaka kwenda Kibosho, Marangu, Uru, Masama(Hai) utapita juu ya Lami.

Kwa mkoa wa Dodoma, Ukiacha Manispaa, wilaya inayofuata kwa Kuendelea ni Mpwapwa, ukitaka kwenda Mpwapwa rafu road inakuhusu. Kongwa hali ni ile ile, regardless haya maeneo yametoa viongozi wakubwa serikalini.

Kibakwe kwa kina Simbachawene hali ni mbaya na ngumu..

Kilimanjaro is a Blessed Country!!
Wengi mnajua.. Ila Dini na Siasa za kisasa zinazondeshwa Kilimanjaro zinawafanya Maccm na Ma religionism mapovu yawatoke!!i

Wacha ujinga wewe, hivi unafahamu unachoandika au unaropoka tu. Kwa nini unaingiza udini na mambo ya maendeleo ambayo hayaangalii udini. Unafahamu kwa nini Moshi na Kilimanjaro wana shule nyingi? Wewe kweli unafahamu historia ya nchi yetu au umekurupushwa? Nakushauri nenda kasome historia yetu kabla ya kuja kuropoka hapa.
 
Mada za aina hii ndizo ambazo husababisha chuki na vita vya wenyewe kwa wenyewe.
 
Mkuu hujakosea kabisa, mimi kwetu kule Rombo-Useri, baraba safi kijiji lakini maji yapo mlangoni ya bomba tena.
 
huyo khatan kwa chuki Alizonazo itakua kaibiwa mama na mchaga,si bure
 
sijaelewa hapa, unashindanisha mikoa au makabila, na je, unaisifu kilimanjaro kana kwamba ni mkoa wa kwenu peke yake au mkoa wa watz wote, unajua kwamba hapo moshi kuna watu sio wachaga lakini wana nyumba nyingi kuliko wachaga? na je, kama kilimanjaro kuna shule nyingi si ni vizuri hiyo ni fahari ya watz wote na si ya wachaga peke yao.....kama kuna lami hiyo ni kitu cha kujivunia watz wote na si cha kujivunia wachaga peke yake. ungejua sisi wengine tuna maslahi makubwa sana moshi lakini hata sio wachagga. acha ukabila haukusaidii, ulichokipata hapo ulipo shukuru Mungu usiwasimange wale ambao hawajapata. una umri gani?

Comment yako ina mapungufu mengi ila hapo kwenye red nimegoma kabisa,ulikuwa una maana gani maana inawezekana ni maana tofauti na niijuavyo mimi "kama ni nyumba ndogo yaani mamaa hapo sawa vinginevyo kafie mbali"???
 
Comment yako ina mapungufu mengi ila hapo kwenye red nimegoma kabisa,ulikuwa una maana gani maana inawezekana ni maana tofauti na niijuavyo mimi "kama ni nyumba ndogo yaani mamaa hapo sawa vinginevyo kafie mbali"???
nitakuelewesha nilichokuwa nasema....mimi ni mchaga pia wa rombo. baba yangu hajaoa mchaga that means mama yangu sio mchaga. wajomba zangu ambao sio wachaga mmoja hapo moshi ana nyumba tatu, mwingine ana nyumba mbili na lodge tatu hapohapo. kuna wachaga hapohapo moshi hawana hata nyumba ya kuishi wanapanga tu (usibishe), je? mjomba wangu mwenye nyumba tatu na huyo mchaga anayepanga nani anatakiwa kujivunia kilimanjaro?
 
mkuu, Mandla alikurupuka tu kwenye ule uzi wake baada ya kunywa komoni ya ubuyu.

kahtaan ni kawaida yake kupondea mambo mazuri.

wenye uelewa tayari wamesha admit kuwa Kilimanjaro city, is bestest
 
nitakuelewesha nilichokuwa nasema....mimi ni mchaga pia wa rombo. baba yangu hajaoa mchaga that means mama yangu sio mchaga. wajomba zangu ambao sio wachaga mmoja hapo moshi ana nyumba tatu, mwingine ana nyumba mbili na lodge tatu hapohapo. kuna wachaga hapohapo moshi hawana hata nyumba ya kuishi wanapanga tu (usibishe), je? mjomba wangu mwenye nyumba tatu na huyo mchaga anayepanga nani anatakiwa kujivunia kilimanjaro?

rudi shule kajifunze fasihi, ili ujue kusimulia kitu.
hao watu wenye nyumba nyingi kuliko wachaga, wana nyumba ngapi? na wapo wangapi?
 
Kuna haja ya kuja na takwimu za kimaendeleo na hali ya kimaisha na kiuchumi za kila mkoa maana naona hapa kuna majigambo na tambo zisizo na mashiko hata kidogo!

mkuu unataka kuifananisha na mkoa gani?
 

Wacha ujinga wewe, hivi unafahamu unachoandika au unaropoka tu. Kwa nini unaingiza udini na mambo ya maendeleo ambayo hayaangalii udini. Unafahamu kwa nini Moshi na Kilimanjaro wana shule nyingi? Wewe kweli unafahamu historia ya nchi yetu au umekurupushwa? Nakushauri nenda kasome historia yetu kabla ya kuja kuropoka hapa.

we Historia ndiyo huifahamu kabisa!
Wakoloni walijenga shule ngapi Kilimanjaro? na sasa ziko ngapi? Hivi unafahamu kuwa mpango wa kuwa na Sekondari kila Kata kwa Mkoa wa Kilimanjaro umeanza 1995?
 
Kagera inaizidi Kilimanjaro kwa wingi wa Shule na uzuri wa hali yahewa. Kagera kunamvua kwa mwaka mzima mji umejengeka kutoka chini kwenda milimani nimkoa wenyewatu wastaarabu unamaji yanatiririka kutoka kwenye vijito kwa mwaka mzima zaidi yayote nimkoa pekee kwa miaka kumi mfululizo haujawai kuwa naumeme wamgao.
Karibu kagera
 
rudi shule kajifunze fasihi, ili ujue kusimulia kitu.
hao watu wenye nyumba nyingi kuliko wachaga, wana nyumba ngapi? na wapo wangapi?
hahaha, unauliza wana nyumba ngapi wakati nimekutajia hadi idadi mzee? na huo ni mfano tu wa watu wa karibu yangu ambao sio wachaga pamoja na kwamba mimi ni mchaga...mbona mgumu kuelewa mzee we mchaga gani wewe?...umejenga kwenu kwanza wewe au ndo waleee .......
 
Nyie wanywa mbege moja ya mila zenu ni kuoa dada zenu!
Na mkilewa hata shangazi yako unapitia tu!
Kwa hivyo wewe kutukana kila mara ni km kunywa chai tu!

Narudia tena kukwambia BILA CCM Nyie meno meusi mpaka leo mngekuwa mnaishi kwenye Nyumba za Matope na Mapaa ya majani.

Hamna Shukrani. Ndo maana mkaumbwa na Sura mbovu kama roho zenu.

Sisi wakazi wa mijini tunaomba Mungu Christmasa ifike ili Majambazi wote waende vijiji kwao kula Christmas za mbege!

Na tukiwatia mikononi hio mijizi lzm wahare Mtori!

chaggaphibia!!
 
Hebu msomeni huyu mgalatia hapa.
Anasema wapika mbege na wanywa visusio (damu iliochanganywa na kinyesi kidogo) kina 2013 na vinyesi .com eti WAMEBARIKIWA NA MUNGU.

sasa kwa mgalatia wa kichaga kwake yeye hata MANGI pia ni mungu!

Halafu anawalaumu CCM! Sasa ccm ndio inasababisha majambazi wengi kutoka maeneo hayo?

Hebu fikiri kidogo we meku!
Ebo!
We msimamo wako naufahamu wala hunisumbui. Ng'ombe uliyemzoea hakupi shida unamkamua maziwa utakavyo. Nani asiyekufaham kwamba wewe ni anti-chagga na anti-kilimanjaro. Ila huo msimamo wako hautakusaidia ni sawasawa na dua la kuku kumlaumu mwewe, kamwe hawez kumdhuru hata kuku awe na hasira kiasi gani sana sana mi naona unajiumiza kujibu hoja kwa manguvu. Wakati we unaandaa hoja zako ambazo ni pumba points, hao unaowaita wagalatia wanazidi kuchuma mema ya nchi na kujijenga. :flame:
 
jamaaa hawa ukiwasikiliza sana unaweza fikiria kirimanjaro siyo tz ila ipo marekani.
kwa taarifa ukisema natoka krmnjlo nchi za watu, unahesabiwa maskini kama mtu anaetoka tz. wew mtoa post achen ukabilaaa du.

shape akili yako vizuri, kwanza!!
sikuwa na maana zaidi ya kusema maendeleo ya Kilimanjaro, unataka nisiseme kisa wewe utadhania ni Ukabila?
unajuaje kama mimi ni mchagga?
Jifunze kutafakari kabla hujatoa comments za kufuata Mkumbo.
 
Nyie wanywa mbege moja ya mila zenu ni kuoa dada zenu!

Hapa umesema uongo kabisa, nikuulize we huu utamaduni umeujulia wapi? Hivi ni wapi ndani ya Tz hii unaweza kupata traditional drinks ukaifananisha na mbege?

Na mkilewa hata shangazi yako unapitia tu!
Kwa hivyo wewe kutukana kila mara ni km kunywa chai tu!

Mambo yakusimuliwa yatakusumbua sana..

Narudia tena kukwambia BILA CCM Nyie meno meusi mpaka leo mngekuwa mnaishi kwenye Nyumba za Matope na Mapaa ya majani

CCM mbona imeshindwa sasa kufanya na maeneo mengine? mf. mfano mkoa unaochukuliwa kama makao makuu ya nchi hii, CCM yako imefanya nini?
Kama unaona ni nguvu ya Ccm kilimanjaro kuwa kama ilivyo kwanini isifanye na maeneo mengine?

Hamna Shukrani. Ndo maana mkaumbwa na Sura mbovu kama roho zenu.

Pole sana...but elewa kuwa "the more you hate, the more you love"...

Sisi wakazi wa mijini tunaomba Mungu Christmas ifike ili Majambazi wote waende vijiji kwao kula Christmas za mbege!

Heri mwizi kuliko........
utamalizia mwenyewe!!!

Na tukiwatia mikononi hio mijizi lzm wahare Mtori!

Tokea umeanza kuwaita wezi mpaka sasa hujamshika hata mmoja?
Kaka stori za vijiweni zimekuharibu sana
 
Ila kwa nini ile barabara ya kwenda TPC hainengwi? Nasikia ni sababu za kisiasa maana umuhimu wa ile barabara ni mkubwa hasa baada ya kuwepo kiwanda kingine cha Serengeti beer!

Kingine Machine Tools wanakihujumu jamani!! Lile ni bonge la kiwanda ever, kinanisikitisha sana!! kiwatengu

Siasa ilikuwa zamani ila kwa sasa nnapo tuma post hii ipo hatua za mwisho kuwekwe lami
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom