Kilimanjaro na Iringa, mkoa gani upo mbele kimaendeleo

Kilimanjaro na Iringa, mkoa gani upo mbele kimaendeleo

Ndakilawe

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2011
Posts
4,815
Reaction score
2,832
Wadau nimekuwa nikipata shida sana na hii mikoa miwili, Iringa na Kilimanjaro, ni wapi kuna maendeleo zaid kisiasa, kielimu, kiuchumi, hata kwa miundombinu ya mjini! Nimesikia Halmashauri ya Moshi inajiandaa kuwa jiji ifikapo 2015, kwanini sio Halamashauri ya Iringa?

Naombeni hoja zenye kushawishi..Tukimaliza hapo tutahamia mikoa mingine
 
Ningekuwa nimewah kufika Iringa ningekujibu!
 
Wadau nimekuwa nikipata shida sana na hii mikoa miwili, Iringa na Kilimanjaro, ni wapi kuna maendeleo zaid kisiasa, kielimu, kiuchumi, hata kwa miundombinu ya mjini! Nimesikia Halmashauri ya Moshi inajiandaa kuwa jiji ifikapo 2015, kwanini sio Halamashauri ya Iringa?

Naombeni hoja zenye kushawishi..Tukimaliza hapo tutahamia mikoa mingine

Mada tamu hii we acha tu, Kilimanjaro iko juu kwa maendeleo na usafi. Siyo siri Iringa inafuata hata kwa usafi.
 
kirimanjaro na Iringa zinafuatana kiusafi tu ila kiuchumi na Elimu kiriamanjaro wapo juu sanaa

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
ningekuwa nimeshafika iringa ningeweza kujibu lakinii sijawahi kufika ngoja tusubiri waliofika mikoa yote miwili watatupa taarifa
 
Iringa ipo juu sana teh teh! Akili zingine bure kabisa,yaani ulinganishe kilimanjaro na iringa? Ila kweli,mbona dar na new york ziko sawa tu
 

mada tamu hii we acha tu, kilimanjaro iko juu kwa maendeleo na usafi. Siyo siri iringa inafuata hata kwa usafi.

kweli kabisa iringa inajitahidi sana lakini haiwezi kufua dafu kwa moshi, moshi ikiwa jiji itakuwainaongoza majiji ya afrika mashariki kwa usafi, kwa sasa ndiyo manispaa inayoongoza kwa usafi tanzania na afrika mashariki.
 
Kilimanjaro ipo juu kwenye kila kitu.mji wa iringa umejibana sana(hospitali ya Mkoa,magereza,polisi,soko kuu,posta,vyote hivi viko mahali pamoja),kwa usafi iringa inajitahidi karibia ifikie usafi wa moshi.
 
-------.......KILA MTU ANASIFIA Moshi.....
 
Kwa data za mwak 2008 from Kilimanjaro Regional Website Secondary schools zilikua 295.....sijajua aspects nyingine na kwa Iringa vilevile sina accurate data.
 
kilimanjaro ipo juu kwenye kila kitu.mji wa iringa umejibana sana(hospitali ya mkoa,magereza,polisi,soko kuu,posta,vyote hivi viko mahali pamoja),kwa usafi iringa inajitahidi karibia ifikie usafi wa moshi.

lakini bado sana!
 
iringa inaongoza kwa pato la mwananchi mmoja mmoja ni ya pili baada ya daresalaam
 
Kilimanjaro ipo juu kwa kila kitu kuanzia elimu na watu wake wanamaendeleo ya kutosha


Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom