Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 51,721
- 208,991
Upo vizuri sanaNinayo
Naipenda
š¤£
Na kidambi changu š¤©Upo vizuri sana
Nchi inatakiwa ifuatilie mambo ya bei ya unga ,cement na madawa ,mambo ya marathoni hayo ni starehe bei itaamuliwa n'a soko serikali isiingilie stareheNchi Ya Hovyo Uholela Umezidi Mpaka Umepitiliza Yaani Kama Hakuna Viongozi
Ccm Itupishe Jamani
Duuh...Mimi nilibook na kulipia January ilikuwa laki 1 one bed singleNipo apa keys hotel, nimekuja Leo gharama ni laki mbili Kwa chumba
Ngoja nijeNa kidambi changu š¤©
Weee!!!!usione ukadhani bestie huko Kuna mengi mnoo!!! mwanaume anaeruhusu mkewe aende namshangaaakazi kazi sio [emoji23]
Wanakuja kumdanga nani? Mtu anatoka kukimbia kachoka, ataweza hizo mambo kweli?
Mbona bei tu, mimi nipo hapa nalala kwa laki 7 wewe unalalamika laki 1, tafuteni hela muwe kama sie
Kabila la huko si unalijua mbele ya pesa?! Hawana utu mbele ya pesaHao watu waache tamaa , huo ni upuuzi na dhuluma.
Wageni wakirimiwe na sio kuumizwa .
Wengi watanungunika na sio Baraka hiyo.
Kabla ya marathon bei ilikua ngapi?Atakayehitaji lodge anione...Tshs 50,000 Tu per night
Jikumbushe kwanza kwenye mji wa Moshi wanaishi kina nani. Ukipata jibu utaona kwamba huo upigaji umekutana na wahusika original na hakunaga laana kwenye pesa.Hao watu waache tamaa , huo ni upuuzi na dhuluma.
Wageni wakirimiwe na sio kuumizwa .
Wengi watanungunika na sio Baraka hiyo.