[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona bei tu, mimi nipo hapa nalala kwa laki 7 wewe unalalamika laki 1, tafuteni hela muwe kama sie
Gesti anasaHuwa tunaona kwenye mabus Kuna mamlaka huwa inazui upandaji wa Bei holela vip kwenye hili la hotel,lodge na guest? Yaani Moshi kesho na jumamosi hotel ya 25,000 unalipa 75,000 ya elfu ,hotel ya 50,000 unalipa 150,000View attachment 2527785View attachment 2527786
Unamjua Amani machange ww [emoji3166][emoji3166]Atakayehitaji lodge anione...Tshs 50,000 Tu per night
Kwani usafiri si upo mkuu. Hapo Noah zinazotoka rombo zinapita za kutosha tu. Labda kama unaona utakosa kampaniHuko mbali sana na eneo la tukio,
Isitoshe inaanzaga asubuhi sana (Alfajiri)
Twende!Wajipange…
Hivi ukisafiri hauchoki?Kwani usafiri si upo mkuu. Hapo Noah zinazotoka rombo zinapita za kutosha tu. Labda kama unaona utakosa kampani
Utalii kwanza,mbususu za kizungu kibao,wkae kwa kutuliaunaambiwa ukilala Leo 40,000 then kesho 150,000 ..basi siku zote ingekuwa 150,000
Wakenya mwaka huu wengi Sana...na hao sio wale professional athletes TU ila social runner wa kawaida..mbio pendwa hii Africa mashariki..hamna kama hiiKatika haya mashindano huwa Kuna wazungu wengi sana , wengine ni Wakenya na Ethiopia ( Wazee Wakazi )
Kwa hiyo gharama lazima ziwe kubwa
😂 kukimbia ndio kitu sijuiTwende!
Tokea nayajua hayo mashindano , ni watanzania kama 3 niliona wamechukua hela za ushindiWakenya mwaka huu wengi Sana...na hao sio wale professional athletes TU ila social runner wa kawaida..mbio pendwa hii Africa mashariki..hamna kama hii
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
TwendeWajipange…