Mambo ya Kilimanjaro marathon hayo sipati pichaa wadangaji wa dar washaafikaaWajipange…
kazi kazi sio 😂Mambo ya Kilimanjaro marathon hayo sipati pichaa wadangaji wa dar washaafikaa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
twen zetu bei zakawaida hizo beby☹️Wajipange…
Nani kawaambia mpeleke kwa hao majambazi? Hamuwajui wachaga siyo? Mtajuta kuwafahamu na kiherehere chenu.Huwa tunaona kwenye mabus Kuna mamlaka huwa inazui upandaji wa Bei holela vip kwenye hili la hotel,lodge na guest? Yaani Moshi kesho na jumamosi hotel ya 25,000 unalipa 75,000 ya elfu ,hotel ya 50,000 unalipa 150,000View attachment 2527785View attachment 2527786
Nendeni mkalale Arusha nauli ni ndogo tuHuwa tunaona kwenye mabus Kuna mamlaka huwa inazui upandaji wa Bei holela vip kwenye hili la hotel,lodge na guest? Yaani Moshi kesho na jumamosi hotel ya 25,000 unalipa 75,000 ya elfu ,hotel ya 50,000 unalipa 150,000View attachment 2527785View attachment 2527786
Huko mbali sana na eneo la tukio,Tatizo mnataka kujazana wote hapo mjini. Ukisogea hapo himo chumba cha 40k in terms of quality hapo mjini unakipata kwa 15k-20k hapo njiapanda na himo.
Acha tu aseeee na hizo tight zao na matako kama behewa watu watakojoleana sana tuMambo ya Kilimanjaro marathon hayo sipati pichaa wadangaji wa dar washaafikaa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app