🥴Ndo umemaliza mkuu au tusubiri unaendelea....
Dar Express kubadilika hataki anang'ang'ania kununua bus za bei kubwa model za zamani huku Mchina akitoa bus model mpya zinazovutia wateja.Kilimanjaro bus imefufuka bwana tumpe moyo mwekezaji. Wasiwasi wangu ni kwa Dar express.
ulishiriki wakati wa kuunda kampuni? Ife isife inakuhusu nini, kafanye mambo yako km usafiri makampuni yako mengiKampuni kongwe ya mabasi ya kilimanjaro express inahali mbaya kutuzama basi yake tu. Imebakia kujivunia jina ambalo sasa nalo sioni kama litadumu.
Mara kadhaa mabasi yao yamekuwa yakipata hitirafu barabarani.
Unaweza ukawa umekata VIP mkajikuta mmeletewa kolokwinyo la kuwafikisha tu.
Leo tena, namsindikiza abiria kindakindaki wa hiyo kampuni yamemkuta ya kenge.
Binafsi sitalitumia basi hilo wala kumkatia mtu tiketi hadi watakapo amua kufanya uwekezaji.View attachment 2680672
View attachment 2680673
we unaelewa tofauti ya Scania ya Yutong? Scania zimekuwa chache kwasababu ya bei, beu zake ni kubwa sana matajiri wengi wamezikimbia, unnaweza kuta Scania moja ni zaidi Yutong mbili. We kweli ni mshambaBiashara za mabasi ndivyo zilivyo
Ova
changamoto sana mkuu m nshapanda vip moja nzuri to moshi atukuzdi 20Biashara za mabasi ndivyo zilivyo
Ova
Sawa SawaSijui Kwa Kanda zingine ilaa kaskazini shabiby, kidia, ABC, ABOOD nawaona wana-take over sana
Hahahahahah hili nalo NenoAjira zitakazopotea Bandarini mbona umekaa kimya?
Huyo mzee kabadilisha biashara sasa ivi ana vimba na taasisi za elimu .Dar Express kubadilika hataki anang'ang'ania kununua bus za bei kubwa model za zamani huku Mchina akitoa bus model mpya zinazovutia wateja.
Kuna hao Tilisho na Esther na michina yao wanampeleka mswaki haijawi kutokea.
Mkuu yani bora afungue tu kampuni yake aajiri watakaotoka bandarini kuwanusuru kutatuliwa marinda. Waarabu kwao vitu viwili ni muhuimu kutatua marinda na kuswali mara tano kwa siku.Fungua kampuni yako Mkuu uajiri wataokosa kazi Bandarini
Hajafa mmiliki wake acha uongo.Nakumbuka kusoma humu kifo cha mmiliki wa hii kampuni.
Nadhani watapambana wataipandisha.