Kilimanjaro bus Express inakaribia kufa?

Kilimanjaro bus Express inakaribia kufa?

SHIDA YA HIZI BASI N TAMAA KWENYE MIZIGO KAKA SAWAYA HOPE AMEPTA HUU UJUMBE TULITUMA WATU UWEZI ONA MTU ANATOKA MOSHI AWE NABEGIYA LAPTOP AMA BOX ZA CNDM

WAHESHIMUN ABIRIA MZIGO W KG 50 NLIPIE MNA KICHAA ...IKO PIA KWA MABASI YAA ....NASEMA HIVI NAJUA WAMILIKI HAMJUI MAKONDAWANAWAHARIBIA ABIRIA....KAMZIGO KADOGO ATIALFTANO ULITAKANIBEBE CONDOM JUZI KATI NILIMJIBU MMOJA SIO WA KILIMAMJARO NKAMJIBU UACH E HAPO KAMA UJALETA KWA MDOMO DAR NASHUKA NATOLEWA MZIGO WANGU
SO ABIRIA MSIWE MAFALA HAWA MAKONDA WANATUMWA KUHARIBIA KAKA ZETU BIASHARA .........

KINGINR TAMAA ZA MAKONDA NA MADALALI UNACHA MTU WA 28K AMA 40K NA SIO MMOJA UNANGA NGANA NA 33K AMA 36K GARI LINAFIKA DAR ALMOST EMPTY HAMNA UCHUNGUU NYIE HAMJUI MENGINE N MIKOPO WAMILIKI WANATAKIWA KULIPA BANK MUACHE HUU UJINGA KABISA
 
Vizuri kama ameshaingiza vyuma mkuu. Maana nimeshangaa sana kuwa hilo ndilo basi la VIP.

Kwa niaba ya wasafiri wa huko, zifikishe salamu, ayaweke haraka barabarani asisubiri ifike december. Sio hizo marcopol za akina scandinavia.

Klm hajawai nunua bus mpya
 
Sitasahau tumekata bus luxury abiria wangu alikuwa anapandia njia ..yaani ukaja bonge la mkweche ndio apande, so hayo mabasi sio favourite kwangu kama nina safari za Arusha bora BM wakisema luxury ni luxury kweli..
Luxury unaitafutia kwenye mabasi TZ? Kisa mnapewa juice? Hiyo BM hotel inayosimama Moro ni kichekesho
 
Sitasahau tumekata bus luxury abiria wangu alikuwa anapandia njia ..yaani ukaja bonge la mkweche ndio apande, so hayo mabasi sio favourite kwangu kama nina safari za Arusha bora BM wakisema luxury ni luxury kweli..
Ilishanikuta hiyo. Nimekata bus la 45,000 nikakuta lile Yutong namba B. Hilo bus halifai kabisa.
 
Kilimanjaro Bus... so sad km inaelekea kufa
Fitna chuki wivu wa biashara.....watakuwa wamejaribu ushirikina wakakutana na BWANA NDIYE.......Sasa anakuja huku kulia
 
Mkuu naona huelewi vifaa vya moto na barabarani vile vinakuwa! Enewei huyu mtu anayeitwa Kilimanjaro Bus, kwa kweli Yuko vizuri mno na sa hivi ni 24 hrs barabarani kwa kweli anaupiga mwingi, customer care..usafi wa ma bus nk. Bus yake moja ni sawa na BM 10 nadhan.....ha ha ha haa....SCANIA vs YUTONG
 
Mkuu naona huelewi vifaa vya moto na barabarani vile vinakuwa! Enewei huyu mtu anayeitwa Kilimanjaro Bus, kwa kweli Yuko vizuri mno na sa hivi ni 24 hrs barabarani kwa kweli anaupiga mwingi, customer care..usafi wa ma bus nk. Bus yake moja ni sawa na BM 10 nadhan.....ha ha ha haa....SCANIA vs YUTONG

Vs Higer
 
Back
Top Bottom