Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 16,239
- 22,864
Muulize kwanza umri wakeNdo umemaliza mkuu au tusubiri unaendelea....
Muulize kwanza umri wakeNdo umemaliza mkuu au tusubiri unaendelea....
Sijui kwa nini hii biashara si endelevu, wote baada ya msa hufa, BM anamtoa nje Kilimanjaro siku si nyingi, Abood naye kaleta vitu vipya hiyo njia ni balaaa, ingawa service na customer care ya Abood ni ya hovyo, huwezi sevu basi zima coca cola, unauliza kwa nn? Anasema hakuna aina ingine, Rubbish
Dar Express kubadilika hataki anang'ang'ania kununua bus za bei kubwa model za zamani huku Mchina akitoa bus model mpya zinazovutia wateja.
Kuna hao Tilisho na Esther na michina yao wanampeleka mswaki haijawi kutokea.
Bila kujua customer desire hata ukiloga haisaidii kituBiashara za mabasi ndivyo zilivyo
Ova
ulishiriki wakati wa kuunda kampuni? Ife isife inakuhusu nini, kafanye mambo yako km usafiri makampuni yako mengi
Basi lilikuwa baya kinyume na matazamio yake!.Kikubwa hasa ni nini? Gari imeharibika baada tu ya kutoka stend au? Maana uzi umeleta saa 7 : 15 AM
Elezea nini kimetokea, usionekane unasugulia kunguni.
Sorry nilichanganya.Hajafa mmiliki wake acha uongo.
Nilikuwa nataka niulize hili piaNdo umemaliza mkuu au tusubiri unaendelea....
Mkuu unatumia bunduki ktk vita ya manatiAjira zitakazopotea Bandarini mbona umekaa kimya?
Ndo umemaliza mkuu au tusubiri unaendelea....
Hiyo Kilimanjaro Express ikifa fungua kampuni yako ya mabasi upate faidaHebu mtake radhi mzee Roland Sawaya...hebu angalia hii ratiba halafu urudi hapa.
Hiyo Kilimanjaro Express ikifa fungua kampuni yako ya mabasi upate faida
View attachment 2682340
Hebu mtake radhi mzee Roland Sawaya...hebu angalia hii ratiba halafu urudi hapa.


mpaka hapo naona namba E ni 2, bila shaka ndo hiyo VIP.SawaHiyo Kilimanjaro Express ikifa fungua kampuni yako ya mabasi upate faida
Wenzio wametafuta Mali nje ya keyboardJiandae kuwa abiria.