swagazetu
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 4,251
- 1,467
Ni takribani sasa yapata wiki moja nikiwa najitahidi na kuhakikisha sipitwi na habari za kisiasa hasa zinazohusu ziara za makatibu wakuu wa vyama viwili vyenye ushindani nchini kisiasa.mara zote si wafuasi wa CCM wala CDM,wote jambo limekuwa moja wameungana pamoja kumsindikiza dr slaa(gwiji la siasa)hasa katika ziara zake huko kigoma.ninachotaka kujua ni je akina kinana na nape walikoenda hawakufanya la maana?ama je jf mtandao wake ulukuwa na shida ndo maana watu hawakuandika.?
au je hii ni ishara kuwa cdm wana wafuasi wa sili na ccm wana maadui wa siri ili wasipoteze vibarua hawajioneshi waziwazi?bado sielewi huu umoja wa wanachama wa ccm na cdm kufuatilia ziara za dr slaa na kuacha za akina nape zinamaanisha chadema ni kipenzi cha walio wengi au ccm imezoeleka.jamani wale wanaoweza kufuatilia za akina nape wekeni ili kuwe na usawa maana naona slaa ametawala vyombo vya habari karibu vyote bila kujali kuwa ziara zake zaidi ni kwa faida ya nani!
au je hii ni ishara kuwa cdm wana wafuasi wa sili na ccm wana maadui wa siri ili wasipoteze vibarua hawajioneshi waziwazi?bado sielewi huu umoja wa wanachama wa ccm na cdm kufuatilia ziara za dr slaa na kuacha za akina nape zinamaanisha chadema ni kipenzi cha walio wengi au ccm imezoeleka.jamani wale wanaoweza kufuatilia za akina nape wekeni ili kuwe na usawa maana naona slaa ametawala vyombo vya habari karibu vyote bila kujali kuwa ziara zake zaidi ni kwa faida ya nani!