Kilichotokea mgodi wa Msata Geita

Kilichotokea mgodi wa Msata Geita

Youbettersleep

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2019
Posts
955
Reaction score
1,671
Kwa ufupi sana kipindi majanga yanatokea hapo mgodini MSASA GEITA nilikuwepo na niliona kila kitu hadi jioni inafika nilikuwepo kuangalia kila hatua iliendelea...

Itoshe kusema taarifa zilizotolewa na vyombo vya habari viliangalia mambo mengi sana hadi kusema hakukuwa na vifo, ila sisi tuliokuwepo hapo tunaona ni tofauti kidogo. Kwa hisabati ya kawaida wewe unaona walikuwa sawa?

NILIONDOKA KWA HASIRA SANA BAADA YA SIASA KUTAWALA PALE MGODINI.

Anyways waliofariki Mungu awape pumziko jema tu 🙏🙏🙏🙏
 
Jinsi migodi ilivyo na usalama hafifu, kuzuia majanga ya vifo ni ngumu inapotokea majanga ya kijiografia...
 
Jinsi migodi ilivyo na usalama hafifu, kuzuia majanga ya vifo ni ngumu inapotokea majanga ya kijiografia...
Unadhan nini kifanyike? Ikiwa serikal haijali hali ya watu wake ni ngumu watu kutumia teknolojia katika suala zima la migodi.

Serikali kipofu, watu wake vipofu na wewe n kiziwi mimi bubu 🚮🤣
 
Back
Top Bottom