Kilichopo nyuma ya mzozo wa Niger vs ECOWAS, EU na Nigeria

Zacht

JF-Expert Member
Jul 17, 2020
1,009
2,197
Kama ulikuwa unajiuliza Kwanini UN,EU ,NATO, Nigeria na Marekani zipo so aggressive kwa kile kinacho endelea west Africa hasa Niger ngoja sasa nikuambie kwa ufupi.

Baada ya mzozo wa Ukraine na Russia nadhan utakuwa unakumbuka EU iliweka vikwazo vya kutonunua gesi ya mrusi , lakini baadae kikwazo hiko kikaja kuwa ni mtihan mzito kwa baadhi ya wanachama wa EU kwa ufupi ilishindikana.

Sasa baada ya kukaa chini na kufikiri kwa kina wakaja na mkakati wa kutafuta mbadala wa gesi ya mrusi, ndipo wakaigeukia Africa ikaandaliwa project ya Trans Saharan Gas Pipeline ambayo itasafirisha gesi kutoka Nigeria to Europe

Niger ilikuwa sehemu ya mradi huo ambao ungesaidia EU kureplace gesi ya Urusi.

sasa kwa situation unayoendelea sasa ni wazi kwamba mpango huo utacheleweshwa au usiwepo kabisa kwasababu tayari Russia inanekana imeshatia mikono maana juzi tu viongizi wa Africa walienda Russia na mara mapindizi na sasa inahofiwa Wagner group(Russia kwa kivuli Cha Wagner) inaweza kupewa mkataba wa ulinzi Niger

Hali inayoendelea sasa kwenye mzozo wa Niger.

-Niger, Mali, na Burkina Faso walikuwa na mkutano nchini Mali kujadili uwezekano wa kutumwa kwa haraka kwa vikosi vya WAGNER nchini humo.
- UN imeipa green light ECOWAS kuingia Niger .
-EU ipo tayari kuisadia ECOWAS kubabiliana na Niger.
-Nigeria imetuma jeshi lake la anga hadi kwenye mpaka wa Niger.
-Marekani inashusha shehena za silaha kuizunguka Niger na ndege zake za kivita na zimetayarishwa kwa mashambulizi (Marekani Ina askari wake 10k wapo Niger)

Hii vita ni kubwa kuliko unavyofikiria ni vita vya kupigania maslahi zaidi.
 
It’s a internal country matter.

Kama malengo yao ni kukomesha mapinduzi Kwann hawakutuma vikosi vyao pakistan when it happened ,unajua Kwanini, Cause pakistan has nothing to offer to the west.

Think
 
Hahahaa naona ya Syria yanataka kujirudia, US kapeleka askari 1000 na sio 10k ndugu mwandishi, anaeumia kwenye huu mgogoro wala sio US ni Ufaransa.

EU ndo bomba la gas wasahau lazima wapige magoti kwa mzee Putin. Suala la Vita sio rahisi kutokea maana mpaka sasa ECOWAS wameshafeli, na Ufaransa kakubali.

Nchi kama Algeria, Burkina Faso, Mali nknk ziko tayari kumsaidia Niger. Nigeria kashindwa kupambana na Boko Haram ndo akapigane na Niger?.

Niger hawako peke yao wana Wagner nyuma ya pazia kuna Russia na Iran. Hao Ecowas sijui, EU hawawezi kukubali vita na hawa watu kabisa.

Na lamwisho sehemu yoyote ambao mzozo huwa kuna Russia, Marekani hajawai kupigana huwa anakimbia refer Syria na Venezuela.

Hapo ndo kwisha habari, hakuna bomba la gas, hakuna atakaye vamia Niger, mpaka Rais anapinduliwa jua walishafeli.
 
Vamos Russia vamos!!!!!
Hahahaa naona ya Syria yanataka kujirudia, US kapeleka askari 1000 na sio 10k ndugu mwandishi, anaeumia kwenye huu mgogoro wala sio US ni Ufaransa.

EU ndo bomba la gas wasahau lazima wapige magoti kwa mzee Putin. Suala la Vita sio rahisi kutokea maana mpaka sasa ECOWAS wameshafeli, na Ufaransa kakubali.

Nchi kama Algeria, Burkina Faso, Mali nknk ziko tayari kumsaidia Niger. Nigeria kashindwa kupambana na Boko Haram ndo akapigane na Niger?.

Niger hawako peke yao wana Wagner nyuma ya pazia kuna Russia na Iran. Hao Ecowas sijui, EU hawawezi kukubali vita na hawa watu kabisa.

Na lamwisho sehemu yoyote ambao mzozo huwa kuna Russia, Marekani hajawai kupigana huwa anakimbia refer Syria na Venezuela.

Hapo ndo kwisha habari, hakuna bomba la gas, hakuna atakaye vamia Niger, mpaka Rais anapinduliwa jua walishafeli.
 
Kama ulikuwa unajiuliza Kwanini UN,EU ,NATO, Nigeria na Marekani zipo so aggressive kwa kile kinacho endelea west Africa hasa Niger ngoja sasa nikuambie kwa ufupi.

Baada ya mzozo wa Ukraine na Russia nadhan utakuwa unakumbuka EU iliweka vikwazo vya kutonunua gesi ya mrusi , lakini baadae kikwazo hiko kikaja kuwa ni mtihan mzito kwa baadhi ya wanachama wa EU kwa ufupi ilishindikana.

Sasa baada ya kukaa chini na kufikiri kwa kina wakaja na mkakati wa kutafuta mbadala wa gesi ya mrusi, ndipo wakaigeukia Africa ikaandaliwa project ya Trans Saharan Gas Pipeline ambayo itasafirisha gesi kutoka Nigeria to Europe

Niger ilikuwa sehemu ya mradi huo ambao ungesaidia EU kureplace gesi ya Urusi.

sasa kwa situation unayoendelea sasa ni wazi kwamba mpango huo utacheleweshwa au usiwepo kabisa kwasababu tayari Russia inanekana imeshatia mikono maana juzi tu viongizi wa Africa walienda Russia na mara mapindizi na sasa inahofiwa Wagner group(Russia kwa kivuli Cha Wagner) inaweza kupewa mkataba wa ulinzi Niger

Hali inayoendelea sasa kwenye mzozo wa Niger.

-Niger, Mali, na Burkina Faso walikuwa na mkutano nchini Mali kujadili uwezekano wa kutumwa kwa haraka kwa vikosi vya WAGNER nchini humo.
- UN imeipa green light ECOWAS kuingia Niger .
-EU ipo tayari kuisadia ECOWAS kubabiliana na Niger.
-Nigeria imetuma jeshi lake la anga hadi kwenye mpaka wa Niger.
-Marekani inashusha shehena za silaha kuizunguka Niger na ndege zake za kivita na zimetayarishwa kwa mashambulizi (Marekani Ina askari wake 10k wapo Niger)

Hii vita ni kubwa kuliko unavyofikiria ni vita vya kupigania maslahi zaidi.
Tuletee na kilichopo kwenye ukaribu kati ya Serikali ya Samia Hasan na nchi za kiarabu.
 
Kama ulikuwa unajiuliza Kwanini UN,EU ,NATO, Nigeria na Marekani zipo so aggressive kwa kile kinacho endelea west Africa hasa Niger ngoja sasa nikuambie kwa ufupi.

Baada ya mzozo wa Ukraine na Russia nadhan utakuwa unakumbuka EU iliweka vikwazo vya kutonunua gesi ya mrusi , lakini baadae kikwazo hiko kikaja kuwa ni mtihan mzito kwa baadhi ya wanachama wa EU kwa ufupi ilishindikana.

Sasa baada ya kukaa chini na kufikiri kwa kina wakaja na mkakati wa kutafuta mbadala wa gesi ya mrusi, ndipo wakaigeukia Africa ikaandaliwa project ya Trans Saharan Gas Pipeline ambayo itasafirisha gesi kutoka Nigeria to Europe

Niger ilikuwa sehemu ya mradi huo ambao ungesaidia EU kureplace gesi ya Urusi.

sasa kwa situation unayoendelea sasa ni wazi kwamba mpango huo utacheleweshwa au usiwepo kabisa kwasababu tayari Russia inanekana imeshatia mikono maana juzi tu viongizi wa Africa walienda Russia na mara mapindizi na sasa inahofiwa Wagner group(Russia kwa kivuli Cha Wagner) inaweza kupewa mkataba wa ulinzi Niger

Hali inayoendelea sasa kwenye mzozo wa Niger.

-Niger, Mali, na Burkina Faso walikuwa na mkutano nchini Mali kujadili uwezekano wa kutumwa kwa haraka kwa vikosi vya WAGNER nchini humo.
- UN imeipa green light ECOWAS kuingia Niger .
-EU ipo tayari kuisadia ECOWAS kubabiliana na Niger.
-Nigeria imetuma jeshi lake la anga hadi kwenye mpaka wa Niger.
-Marekani inashusha shehena za silaha kuizunguka Niger na ndege zake za kivita na zimetayarishwa kwa mashambulizi (Marekani Ina askari wake 10k wapo Niger)

Hii vita ni kubwa kuliko unavyofikiria ni vita vya kupigania maslahi zaidi.
Kumbe imeshindikana.hapo umesema kweli
Urusi imetia mikono na miguu pia.
 
Back
Top Bottom