py thon
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 2,471
- 4,424
Kuna jambo la kufurahisha kama sio la kushangaza Tajiri na multi millionaire na mtu mwenye brand kubwa na ushawishi Bill gates anatembea bila ya kuwa na mabaunsa au walinzi.Tajiri huyu ana utajiri wa Dollar Billion 90
2.Steve jobs pia ni Tajiri mwingine lakini yupo kawaida alikuwa hatembei na mabaunsa
Kimbembe kipo huku
1.Gwajima huyu Don anatembea na walinzi kibao utafikiri Director wa FBI
.
2.Diamond huyu naye hajiamini anatembea na baunsa
3.May weather huyu ndio panya kabisa licha ya umashuhuri wake lakini hawezi kutoka nje ya nyumba yake bila ya walinzi na mabaunsa .
2016 Floyd alivyomshinda Pac alisema yeye ni bora kuliko Mohammad Ali kauli ile ilimkera sana Tyson na Tyson akamtolea uvivu Floyd .
“He's very delusional. Listen, if he (Floyd Mayweather) was anywhere near that realm of greatness with Ali he'd be able to take his kids to school by himself. He can't even take his kids to school by himself, and he’s talking about being great?”
– Mike Tyson
Nawapa pongezi akina Billgate ase utajiri wao,umaarufu wao hauwanyimi usingizi
2.Steve jobs pia ni Tajiri mwingine lakini yupo kawaida alikuwa hatembei na mabaunsa
Kimbembe kipo huku
1.Gwajima huyu Don anatembea na walinzi kibao utafikiri Director wa FBI
2.Diamond huyu naye hajiamini anatembea na baunsa
3.May weather huyu ndio panya kabisa licha ya umashuhuri wake lakini hawezi kutoka nje ya nyumba yake bila ya walinzi na mabaunsa .
2016 Floyd alivyomshinda Pac alisema yeye ni bora kuliko Mohammad Ali kauli ile ilimkera sana Tyson na Tyson akamtolea uvivu Floyd .
“He's very delusional. Listen, if he (Floyd Mayweather) was anywhere near that realm of greatness with Ali he'd be able to take his kids to school by himself. He can't even take his kids to school by himself, and he’s talking about being great?”
– Mike Tyson
Nawapa pongezi akina Billgate ase utajiri wao,umaarufu wao hauwanyimi usingizi