Hii imekaa Sawa...UKOMBOZI wa kweli wa waTanganyika....Hata nyererere aliwatukana makaburu baada ya kuacha ubaguzi alikaa nao meza moja
huyu mtoto nlimuona sakina bar - arusha miezi michache iliyopita.
Subiri matusi, lakini ukweli ndio huo
Pole ndugu,naona unaumia moyo,usijal ndo siasa zilivyo!!now,is the time to pay the price zakumkata edo!!!Kwamba wewe ndo unajua sana kujali wananchi!??? #pambaf
hiyo nyomi imezidiwa kidogo na ya magufuli
Jamani ITV wamejiunga moja kwa moja na Azam TV. karibuni tufuatialie safar ya uhakika.
Mbona mkwere ana kifafa na kaongoza miaka kumi
Hata akiumwa huyo ndiyo chaguo letu. Hakuna aliye mzima wote tu wagonjwa tu. Cha muhimu kuombeana kwa Mungu
Mkuu,kama umepata nambari ya huyu mwehu nape nitumie PM...........tafadhali!
hiyo nyomi imezidiwa kidogo na ya magufuli
kama we ni great thinker ungeuliza ni aina gani ya ukombozi?....delete mfumo(ccm) october 25Km lowasa ndo mkombozi sasa YESU nafasi yake inakuwaje?
E.L ndiyo mkombozi wa nchi hii kwa sasa imefahamika.Taarifa kutoka maeneo mbalimbali ya nchi hii wanaimani naye na kwamba hamna cha magufuli wala cha mtu yeyote anayeweza kushindana naye.
viva ukawa