mayoscissors
JF-Expert Member
- Nov 24, 2009
- 975
- 471
Asilimia 90 ya Wanachama wa CCM wapo Ukawa, tunajificha tu ndani ya kijani lakini siku ya kupiga kura tutajionyesha hapo hapo.
Ccm lazima wahame nchi.
ni kweli,majambazi yanajificha kwenye pori la ccm ila ukombozi waja