Msamehe bure mkuu, elimu yetu ya division five imetufikisha hapa tumekuwa wataalamu wa kupiga ramlingozi nyeusi cc iko shida#kujigamba kote ya nn!!!kwani ww unamjua huyu bwana...
Na vile alivyotamba bungeni kuwa jimbo sasa limepata mbunge baada ya miaka mitano ya kukosa maendeleo!!!!!!!Namuombea sana HASNA ashinde hiii kesi nitajipongeza kwa kujizawadia Hummer..... Simpendi hyo jamaa..
hasna juu juu zaidiiii
Sijawahi kufeli...wala kupata F...kidato cha NNE wala cha sitaMsome hapa alafu mpuuzie... Aliishia form four akaajiriwa kama Karani au Dereva kwenye ofisi ya serikali
Namuonea huruma kumuacha nitamuumiza tena
Sijawahi kufeli form 4 wala form Six.Msamehe bure mkuu, elimu yetu ya division five imetufikisha hapa tumekuwa wataalamu wa kupiga ramli
Anarudije bungeni?Namuona kwa mbali jemedali kafurila akirejea bungeni karibu sana kiongozi
1.Mwendelezo wa kesi ya kamanda KAFULILA Leo katika mahakama kuu kanda ta Tabora.
Jaji wa mahakama kuu kanda ya Tabora amesema mahakama itatumia kujumulisha matokeo yaliyoko kwenye form namba 21 ambazo zilizo na matokeo ya jimbo zima.
2. Hata hivyo jaji kaelekeza mahakama haitofungua masanduku ili kuhakiki matokeo ambayo ndio ilikuwa hoja ya HASINA ambaye ndiye aliyetangazwa kuwa mbunge.
3. Mungu anaendelea kututendea haki awajaze uzima wale ote wanakwenda kumalizia kazi nyepesi ya kujumulisha matokeo.
vipi wanafuatilia lini mdau tar.ngapi mungu mkubwa!!Na vile alivyotamba bungeni kuwa jimbo sasa limepata mbunge baada ya miaka mitano ya kukosa maendeleo!!!!!!!
Omba saaaaana.....
Lakini ujue Mungu hutoa haki tuuu.
Wewe ndio unatakiwa kuwa wa kwanza kuthibitisha ninacho sema si kweli.Nakukumbusha tu ndugu MWANASHERIA, nilikuwa nimeomba ushahidi kwa madai yako ya hapo mwanzo. .
BACK TANGANYIKA
Nakala ya hizo fomu namba 21 zilizosainiwa na mawakala vituoni anazo Kafulila na zinaonesha kwamba alishinda, atashindwaje sasa?! Walalamikiwa wakijaribu kubadili matokeo kwenye hizo fomu kwa kughushi wata "complicate" zaidi hili shauri. Usisahau, miongoni mwa mashahidi muhimu wa mlalamikaji ni hao waliokuwa mawakala vituoni.Kwa kutumia fomu namba 21 kuhesabu kura atashindwa kafulila. Hongera jaji mtenda haki
Namuombea sana HASNA ashinde hiii kesi nitajipongeza kwa kujizawadia Hummer..... Simpendi hyo jamaa..
hasna juu juu zaidiiii
Kwa kutumia fomu namba 21 kuhesabu kura atashindwa kafulila. Hongera jaji mtenda haki