Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,801
- 11,343
Nimeipenda sana hii nukuu umenikumbusha mbali kaka.Mtu yeyote ambae amewahi kuwa Mwana CCM abadan hatoweza kuwatoa CCM kwenye Uchaguzi. Tusubiri kizazi ambacho hakijawahi kuwa na Kadi ya CCM. "...sikiliza Tido, kwa kifupi sana fahamu kuwa CCM haitotolewa Madarakani na Makapi yaliyotokana na CCM"-Comrade Abdulrahman bin Omar bin Kinaanah Al Habshy.