Anatokea wapi?Anaitwa bibie Penniel Mungilwa
20% sijui yuko wapi.........Producer wake Man Walter anampokelea tuzo...lol
yaani hawa mwaka huu kuna upuuzi umefanyika kama miaka iliyopita, sijui kwa nini hawarekebishi haya makosa madogodogo!Hawa wote lazima tuwachane kwenye ANTVIRUS ijayo wasilete ungese hapa! Wanapeana peana tu!
pass mark zake ni hizi, Angalia CNO NUMBER 0485
Ndo ninavyoona pia. Yani hazinipi hata hamu ya kuhudhuria, wanashindwa kurekebisha mambo madogo sana, wasanii wanaimba as if hawakuandaliwa wanashindana na vipaza sauti, inasikitisha.kili muzik award bado yaitaj alot of maboresho
Picha na sauti ni feki kwelikweli, onesho kiasi fulani limepooza.Naona ITV wanaonesha live............Ila picha zimefifia ile mbaya