Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Mkuu wewe Katibu wa CDM Mkoa wa Kinondoni Kanda ya Dar es Salaam, sasa hiyo KIL ya nini hapo au ulikuwa unataka kuandika Kilimanjaro?
Tupoleni sana wakazi wadar es salaam kwa dharau hii kubwa tuliyoonyeshwa na waziri huyu, tusife moyo tunaweza kujiongoza wenyewe kupigania haki zetu za msingi bila hata kusubiri wa wakilishi wetu kutuongoza katika hili. twendeni mbele tusirudi nyuma na harakati hizo lazima zianze sasa, si kwa maana ya uovu, ni kulinda dhamani ya utu wetu na kuwafundisha wenyedharau kuwa na adabu kwani huenda wengine hawajawahi kufundshwa adabu na wazazi wao licha ya kuwa viongozi watawala. Asanteni sana na mungu atubariki by HENRY J KILEWO; KATIBU CHADEMA MKOA KINONDONI NA KANDA YA DAR ES SALAAM.KIL