Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 680
- 1,338
Kama kila waziri atakuwa mbunifu kupitia wizara yake anayoingoza nadhan watakuwa wametenda jambo jema na kutimiza wajibu wao
Kila Waziri aitishe kongamano na wadau Nchi nzima na kuanisha mpango mkakati wake na wadau watoe maoni yao
Hili litakuwa jambo zuri na kumpunguzia Mh Rais Magufuli mambo mengi ambayo Mawaziri yapo ndani ya uwezo wao
Ili kuweza kufanikisha haya Ubunifu ndio nyenzo kuu na kushirikisha wadau wote
Alex Fredrick
Dar es salaam
+255 758 308494
Kila Waziri aitishe kongamano na wadau Nchi nzima na kuanisha mpango mkakati wake na wadau watoe maoni yao
Hili litakuwa jambo zuri na kumpunguzia Mh Rais Magufuli mambo mengi ambayo Mawaziri yapo ndani ya uwezo wao
Ili kuweza kufanikisha haya Ubunifu ndio nyenzo kuu na kushirikisha wadau wote
Alex Fredrick
Dar es salaam
+255 758 308494