Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,916
- 30,259
Ndugu zanguni,
Kila uchao ''magaidi,'' wanafutiwa kesi.
Hili limekaaje?
Hawa hawakuwa ''magaidi?''
Bismillahir Rahmaanir Rahiim
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
DPP LEO TAREHE 01.03.2022 AMEWAFUTIA MASHTAKA WATUHUMIWA 15 WA UGAIDI.
Mkurugenzi wa Mashtaka amewafutia mashtaka ya Ugaidi watu 15, jijini Dar es Salaam leo. Watu hao ni pamoja na:
1. Sheikh Juma Yasin Ali. (PI 55/2015).
2. Ustadhi Abdalla Juma Omar (PI 55/2015) na -
3. Nassoro Said Amoor (PI 55/3015).
Wengine ni:
4. Ali Nassoro Swala (PI 32/2015).
5. Juma Zuberi Kitambi (PI 32/2015).
6. Rajabu Ali Magomba (PI 24/2015).
7. Hussein Mustafa Juma (PI 24/2015) na
8. Haruna Issa Nkuye (PI 24/2015).
Wengine ni:
9. Buheti Yusuf Buheti (PI 7/2016).
10. Seif Shaha Jongo (PI 6/2016).
11. Yusuf Issa Rajab (PI 7/2016) na
12. Hassan Bakari Mnele (PI 50/2015).
Wengine ni:
13. Ramia Shaaban Swaleh (PI 50/2015).
14. Abdul Majid Juma Ludima (PI 13/2016) na
15. Rashid Hassan Mitambo (PI 13/2016).
Katika mashauri hayo ambayo hayakupata kuzungumzwa ndani ya zaidi ya miaka saba, mkurugenzi alitamka mbele ya Jaji kuwa jamhuri haina nia ya kuendelea tena na mashauri hayo.
Ukiacha habari hii kwa ufupi Shura ya Maimamu tunaendelea kuratibu waliofutiwa mashtaka Arusha, Tanga na Mwanza jana na leo.
Ibrahimu Zuberi Mkondo
Msemaji wa Shura ya Maimamu Tz
0713118812
Kinachonisikitisha ni kuwa hii mada hapo chini nimeandika Kiingereza.
Hii ni mada niliwasilisha University of Ibadan, Nigeria mwaka wa 2006 katika kongamano kuhusu ugaidi:
Kila uchao ''magaidi,'' wanafutiwa kesi.
Hili limekaaje?
Hawa hawakuwa ''magaidi?''
Bismillahir Rahmaanir Rahiim
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
DPP LEO TAREHE 01.03.2022 AMEWAFUTIA MASHTAKA WATUHUMIWA 15 WA UGAIDI.
Mkurugenzi wa Mashtaka amewafutia mashtaka ya Ugaidi watu 15, jijini Dar es Salaam leo. Watu hao ni pamoja na:
1. Sheikh Juma Yasin Ali. (PI 55/2015).
2. Ustadhi Abdalla Juma Omar (PI 55/2015) na -
3. Nassoro Said Amoor (PI 55/3015).
Wengine ni:
4. Ali Nassoro Swala (PI 32/2015).
5. Juma Zuberi Kitambi (PI 32/2015).
6. Rajabu Ali Magomba (PI 24/2015).
7. Hussein Mustafa Juma (PI 24/2015) na
8. Haruna Issa Nkuye (PI 24/2015).
Wengine ni:
9. Buheti Yusuf Buheti (PI 7/2016).
10. Seif Shaha Jongo (PI 6/2016).
11. Yusuf Issa Rajab (PI 7/2016) na
12. Hassan Bakari Mnele (PI 50/2015).
Wengine ni:
13. Ramia Shaaban Swaleh (PI 50/2015).
14. Abdul Majid Juma Ludima (PI 13/2016) na
15. Rashid Hassan Mitambo (PI 13/2016).
Katika mashauri hayo ambayo hayakupata kuzungumzwa ndani ya zaidi ya miaka saba, mkurugenzi alitamka mbele ya Jaji kuwa jamhuri haina nia ya kuendelea tena na mashauri hayo.
Ukiacha habari hii kwa ufupi Shura ya Maimamu tunaendelea kuratibu waliofutiwa mashtaka Arusha, Tanga na Mwanza jana na leo.
Ibrahimu Zuberi Mkondo
Msemaji wa Shura ya Maimamu Tz
0713118812
Kinachonisikitisha ni kuwa hii mada hapo chini nimeandika Kiingereza.
Hii ni mada niliwasilisha University of Ibadan, Nigeria mwaka wa 2006 katika kongamano kuhusu ugaidi:
ISLAM, TERRORISM AND AFRICAN DEVELOPMENT
ISLAM, TERRORISM AND AFRICAN DEVELOPMENT 8 th – 10 th FEBRUARY 2006 Venue University of Ibadan Conference Centre ...
mohamedsaidsalum.blogspot.com