Uncle john
Member
- Oct 22, 2012
- 51
- 13
He hee... Kuna rafiki yangu ameoa hivi karibuni, jamani, mkewe vyombo alivyopewa sijui kitchen party, kaviandika majiina...kila kitu alichopewa kama zawadi kwao kaviorodhesha...jameni, mguu nje mguu ndani, yuko tayari kwa lolote...hii hatari sana! na kama ndo hivi, huo urafiki utatoka wapi?! Mungu atusaidie jamani...
yaani hapo inabidi awahi kumzalisha watoto 2 au 3, labda ndio akili ya huyo mwanamke itakaa sawa, la sivyo itakula kwake! Amuwahi kabla hajawahiwa!