Kila nkipata namba ya demu lazima nimtongoze

Kila nkipata namba ya demu lazima nimtongoze

Sigara Kali

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2017
Posts
3,711
Reaction score
8,765
Salaam wana MMU
Wakuu sijui mwenzenu ndo nna nguvu nyingi za kiume,sijui tamaa au sijui ni nini hii.
Yani kila nkipata namba ya demu lazima nimtongoze yani kumwacha aende hivi hivi bila kumpiga mistari siwezi.

Hapa nlipo nna namba sita za mademu flani wa kitaa wote nimewapiga vocal wamekubali najipanga tu kuanza kuwagegeda.

Wenye tabia kama hii waje hapa tufahamiane wana chama wa UWANAKUTA (Umoja wa Waomba Namba na Kutongoza Tanzania)

Asanteni.
 
Aiseeeeeh... ukumbukage tu zana mkuu vinginevo tutakukosa hata kabla nchi haijawa ya viwanda
 
upo kama rafk angu wa huko chuo alikua msukumaa,,yeye hata ukimtambulisha huyu ni shrmeji yako, ataomba namba. Lkn mm kuomba namba ni muoga sanaaaaaaa
 
Hilo ni pepo la ngono, lishindwe na likutoke..

Utakuja kumtongoza hata bosi wako..
 
Me mwenywe siwezi kuwa na namba ya dame nikamwacha salama bila vocal, sijui awe dada yangu damu... ila mbaki ni halali yangu...
 
Wote mnaosema pepo mnazingua sanaaaaa


Sio kila kitu mapepo wangine ndo walivo zaliwa au ukoo wao utakuta babu ana wake 7 na hawara 9
Baba ana wake 8 na hawara 11


Sasa mtoto akiwa kama huyu mtashangaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ukiwa na shughuli fulani katika ofisi ya serikali
Na ukapewa namba ya simu ujulie kazi yako
Aliyekupa no ni mwanamke na ni mkurugenziau secretary
Je pia utapiga mavocal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo yanasikitisha sana, kuna watu walazimisha mijadala ya mambo ya kipuuzi kabisa, wakati nchini kuna mambo ya makubwa yanafanyika, tutabalika lini?
 
Back
Top Bottom