Kila nikishiba uume unasimama, tatizo ni nini?

Mtuache

JF-Expert Member
Mar 12, 2021
251
638
Habari wana wa Jamii Forums

Mimi nimekuwa nikitatizwa na jambo moja ambalo linaniumiza sana kichwa. Mara nyengine nawaza labda ni kawaida kila mwanaume linamtokea

Mimi kila ninapokula chakula na nikashiba lazima uume usimame. Tena unasimama haswa si mchezo na inaweza simama hata nusu saa haijashuka.

Hili tatizo nimekuwa nalo miaka nenda rudi, mwanzo nilichukulia poa ila lilitaka kuniaibisha mara kadhaa. Msiban, kwenye sherehe, kanisani yaan hadi nyumban.

Je.!!? Wanaume wenzangu na nyie mko hivyo hivyo? Kama ni tatizo basi ni tatizo gani? Na nifanye nini? Kama kuoa nimeoa na nina mtoto mmoja

Nawasilisha,
 
Habari wana wa Jamii Forums

Mimi nimekuwa nikitatizwa na jambo moja ambalo linaniumiza sana kichwa. Mara nyengine nawaza labda ni kawaida kila mwanaume linamtokea...
Kwd sana mbona wala sio tatizo hilo hali km yko ninayo pia
 
Habari wana wa Jamii Forums

Mimi nimekuwa nikitatizwa na jambo moja ambalo linaniumiza sana kichwa. Mara nyengine nawaza labda ni kawaida kila mwanaume linamtokea

Mimi kila ninapokula chakula na nikashiba lazima uume usimame. Tena unasimama haswa si mchezo na inaweza simama hata nusu saa haijashuka.

Hili tatizo nimekuwa nalo miaka nenda rudi, mwanzo nilichukulia poa ila lilitaka kuniaibisha mara kadhaa. Msiban, kwenye sherehe, kanisani yaan hadi nyumban.

Je.!!? Wanaume wenzangu na nyie mko hivyo hivyo? Kama ni tatizo basi ni tatizo gani? Na nifanye nini? Kama kuoa nimeoa na nina mtoto mmoja

Nawasilisha,
What are you fearing dude ?.

Just proud yourself that you are real man because few people have got that lucky.

By the way don't fear anything,there is no problem at all.
 
Habari wana wa Jamii Forums

Mimi nimekuwa nikitatizwa na jambo moja ambalo linaniumiza sana kichwa. Mara nyengine nawaza labda ni kawaida kila mwanaume linamtokea

Mimi kila ninapokula chakula na nikashiba lazima uume usimame. Tena unasimama haswa si mchezo na inaweza simama hata nusu saa haijashuka.

Hili tatizo nimekuwa nalo miaka nenda rudi, mwanzo nilichukulia poa ila lilitaka kuniaibisha mara kadhaa. Msiban, kwenye sherehe, kanisani yaan hadi nyumban.

Je.!!? Wanaume wenzangu na nyie mko hivyo hivyo? Kama ni tatizo basi ni tatizo gani? Na nifanye nini? Kama kuoa nimeoa na nina mtoto mmoja

Nawasilisha,
Tafuta demu azipunguze kwenye kibubu zimejaa mno
 
Habari wana wa Jamii Forums

Mimi nimekuwa nikitatizwa na jambo moja ambalo linaniumiza sana kichwa. Mara nyengine nawaza labda ni kawaida kila mwanaume linamtokea

Mimi kila ninapokula chakula na nikashiba lazima uume usimame. Tena unasimama haswa si mchezo na inaweza simama hata nusu saa haijashuka.

Hili tatizo nimekuwa nalo miaka nenda rudi, mwanzo nilichukulia poa ila lilitaka kuniaibisha mara kadhaa. Msiban, kwenye sherehe, kanisani yaan hadi nyumban.

Je.!!? Wanaume wenzangu na nyie mko hivyo hivyo? Kama ni tatizo basi ni tatizo gani? Na nifanye nini? Kama kuoa nimeoa na nina mtoto mmoja

Nawasilisha,
....Lipia Tangazo Mkuu!
 
Back
Top Bottom