Kila nikiona binti mjamzito, roho inaniuma kwa wivu

Achana ni tozo za miamala, tutazoea tu ndugu zangu.

Ila kwa hili, nimeshindwa kabisa kuzoea. Labda kama ni tatizo mnisaidie, au kama siko peke yangu basi nifarijike.

Imekuwa ni muda mrefu sasa tangu nianze ku-note hali hii, hisia zangu hujawa na wivu kila nikiona binti mjamzito. Na maswali ya kipuuzi like kwanini hii mimba sijaweka mimi?

Kusema ukweli napenda sana watoto, kwa kuzaa na hata kwa kupiga nao stori tu. Kwa sasa ninao kadhaa ila nikijaaliwa hadi 12 itapendeza sana.

Je, hili ni tatizo?

Ncha Kali.
Mkuu upo usingizini ama,
 
Wengi mmejikita kwenye idadi ya watoto na kushambulia au kunishangaa, mnaikosa hoja ya msingi.

Si lazima iwe 12, lakini angalau watano(5)…. nilitaja hiyo ili kukazia tu kuwa nawapenda, huenda ndio sababu ya kuwatamani wajawazito.!

Je, hili ni tatizo?
 
Ukiona kutia mimba ni jambo la msingi, halafu usione suala la kusomesha, kukuza na kulea si ya msingi, utakuwa na tatizo kubwa sana.

Sina tatizo na hayo yote unayohofia, kulea na kukuza kwa maisha ya mtanzania tu hainipi shida…. ondoa shaka.

Je, nina tatizo katika kutamani wajawazito?
 
Sina tatizo na hayo yote unayohofia, kulea na kukuza kwa maisha ya mtanzania tu hainipi shida…. ondoa shaka.

Je, nina tatizo katika kutamani wajawazito?
Wewe una tatizo hata kujieleza tu, kwa hivyo sina hakika hata unachouliza ndicho unachotaka kuuliza.
 
Pale unapodhani unaweza kuelewa fikra za mwingine, hilo ni tatizo lako.
Hata hapo ulipoandika basi ni tatizo lako.

Kwa sababu umesoma nilichoandika na umedhani unaweza kuelewa fikra zangu kiasi cha kunijibu.
 
Achana ni tozo za miamala, tutazoea tu ndugu zangu.

Ila kwa hili, nimeshindwa kabisa kuzoea. Labda kama ni tatizo mnisaidie, au kama siko peke yangu basi nifarijike.

Imekuwa ni muda mrefu sasa tangu nianze ku-note hali hii, hisia zangu hujawa na wivu kila nikiona binti mjamzito. Na maswali ya kipuuzi like kwanini hii mimba sijaweka mimi?

Kusema ukweli napenda sana watoto, kwa kuzaa na hata kwa kupiga nao stori tu. Kwa sasa ninao kadhaa ila nikijaaliwa hadi 12 itapendeza sana.

Je, hili ni tatizo?

Ncha Kali.
Kuzaa watoto wengi ni juhudi zako tu mzee,hasa ukiwa tayari umeoa,maana kitanda ni kimoja,hapo ushindwe wewe tu...
 
Back
Top Bottom