Sasa wewe ulimuomba namba ili iweje, uitunze tu? Yaani kuna watu wasenge dunia hii sijapata kuona.Kwema wakuu kuna dada mmoja hivi tumejuana juzi juzi nikamuomba namba akanipga.
Ila kila nikimtumia tuu message lazima anipigiee tuongee wee sasa hapa najiulizaa inakuaje yaaani.
Yawezekana pia mtuma ujumbeHAJUI KUSOMA HUYO, FUATILIA UTAJUA TU.
Kama mtoa mada hajui kuandika hii sredi kaandikaje, sitaki kuamini kila ujumbe anautuma kwa huyo binti ausomeki au haueleweki mpaka awe anapiga simu kwa kila ujumbe.Yawezekana pia mtuma ujumbe
(mleta mada) hajui kuandika
"Usishangae kukutana na mwanafunzi wa elimu ya juu anaeandika na ukashindwa kusoma muandiko wake. Vijana wanafanya kazi za shule kwa kutumia computer, wanatumiana ujumbe kwa simu. Hii imefanya sanaa ya uandishi wa mkono kupotea." (C & P)
Teknolojia imebadili mfumo wa maisha, vijana wa sasa wanashindwa kuandika kwa mkono
kazi yenyewe kuongea na weweKuongea na simu wote ,hana kazi nyingine za kufanya?
Hajui kusomaKwema wakuu kuna dada mmoja hivi tumejuana juzi juzi nikamuomba namba akanipga.
Ila kila nikimtumia tuu message lazima anipigiee tuongee wee sasa hapa najiulizaa inakuaje yaaani.
Anakusikilizia kama unarafunzi ya kikwenu au ya kikiswahili au kiswahili -English. Baada ya hapo atajua aanzie wapi kukula minzinga kila weekend. Nakuhakikishia utarudisha hiyo gharama anayotumia kukupigia.Kwema wakuu kuna dada mmoja hivi tumejuana juzi juzi nikamuomba namba akanipga.
Ila kila nikimtumia tuu message lazima anipigiee tuongee wee sasa hapa najiulizaa inakuaje yaaani.
Uzi tayari!!Kwema wakuu kuna dada mmoja hivi tumejuana juzi juzi nikamuomba namba akanipga.
Ila kila nikimtumia tuu message lazima anipigiee tuongee wee sasa hapa najiulizaa inakuaje yaaani.
Inaweza ikawa sababu ika Kuna wengine wanamatatizo ya macho pia Nina ushahidi wa hiliHAJUI KUSOMA HUYO, FUATILIA UTAJUA TU.
si hivyo tu.. kuna watu hawana vibe na kuandika texts.Huyo manzi yawezekana alikuwa mpweke sana
Anachangamkia fursa
Yeah inaweza kua sababu pia, wengine ushamba wa kutumia simu janja pia hii nilikutana nayo.Inaweza ikawa sababu ika Kuna wengine wanamatatizo ya macho pia Nina ushahidi wa hili