😂😂😂😂😂😂😂😂HAJUI KUSOMA HUYO, FUATILIA UTAJUA TU.
Hajui kuandika huyo nilishawahi kukutana na mtu wa hivyo.Kwema wakuu kuna dada mmoja hivi tumejuana juzi juzi nikamuomba namba akanipga
Ila kila nikimtumia tuu message lazima anipigiee tuongee wee sasa hapa najiulizaa inakuaje yaaani
Shida iko wapi sijaelewaKwema wakuu kuna dada mmoja hivi tumejuana juzi juzi nikamuomba namba akanipga.
Ila kila nikimtumia tuu message lazima anipigiee tuongee wee sasa hapa najiulizaa inakuaje yaaani.
Kwema wakuu kuna dada mmoja hivi tumejuana juzi juzi nikamuomba namba akanipga.
Ila kila nikimtumia tuu message lazima anipigiee tuongee wee sasa hapa najiulizaa inakuaje yaaani.
Hajui kuandikaa..trust meKwema wakuu kuna dada mmoja hivi tumejuana juzi juzi nikamuomba namba akanipga.
Ila kila nikimtumia tuu message lazima anipigiee tuongee wee sasa hapa najiulizaa inakuaje yaaani.
Huyo alikupenda kweliNiliwahi kuwa na Gf wa kiiraq from loliondo
nae alikuwa hapendi sms.
nikituma sms anakausha, baadae akipata muda tunaongea hata dakika 30.
usiku sasa ndio usiseme, nashukuru Mungu hakuwahi kunilia hela🤣🤣
na alisafiri kutoka Loliondo to Mwanza at her own cost kuja kuniona.
asante sana binti ng'aida kwa upendo wako wa dhati kipindi hicho
ubarikiwe sana X kokote uliko
Siku utakapoamua kumpigia ili muongee ,halafu yeye awe na kazi ya kufanya, akikujibu kwa sms uje utuambie pia.Kuongea na simu wote ,hana kazi nyingine za kufanya?
😂😂😂😂Kwema wakuu kuna dada mmoja hivi tumejuana juzi juzi nikamuomba namba akanipga.
Ila kila nikimtumia tuu message lazima anipigiee tuongee wee sasa hapa najiulizaa inakuaje yaaani.
Kwema wakuu kuna dada mmoja hivi tumejuana juzi juzi nikamuomba namba akanipga.
Ila kila nikimtumia tuu message lazima anipigiee tuongee wee sasa hapa najiulizaa inakuaje yaaani.
Ao niwale awajuag kuhandika msj, wandikaga kama ii yangu apa niliohandika. Sasa wanahogopa wakijib utawajuha ndomana anakupigiya.Kwema wakuu kuna dada mmoja hivi tumejuana juzi juzi nikamuomba namba akanipga.
Ila kila nikimtumia tuu message lazima anipigiee tuongee wee sasa hapa najiulizaa inakuaje yaaani.