Yaniii hii inanikutaa na mimi mzee...!! Achaa tuu...Nina msichana wangu nampenda sana tatizo akija gettho msumbufu sana inapofika wakati wa tendo.
Napo mwitaji natumia nguvu sana kumshawishi anajifanya sitaki na taka anajiweka kama gogo atakunipapasa ataki ata akinipa analala kama kafa wakuu nifanyeje?
Tupa kule,ana JINI huyo.Nina msichana wangu nampenda sana tatizo akija gettho msumbufu sana inapofika wakati wa tendo.
Napo mwitaji natumia nguvu sana kumshawishi anajifanya sitaki na taka anajiweka kama gogo atakunipapasa ataki ata akinipa analala kama kafa wakuu nifanyeje?
Hahaaa. Kawaida tu Mkuu.kumbe na wew uko vizuri kwa mambo haya
Hahaha.. Kapata mtu ambae yeye ndiyo anatakiwa amkunje vile anavyotaka anaanza kulialia...Hahahahaha bounce back lol..
Wacha kulalama. Muulize huenda ikawa hajui kwamba kwenye mapenzi kuna kupapasana ye anajua ni kujitegesha tu.
Ila saa nyingine huenda ikawa hamna ushirikiano na pia hapati zile raha za kumfanya ajishughulishe hivyo anajionea bora ajiweke tu kisha ushughulike basi biashara iishe. Mbadilishage na hiyo milalo huenda akachangamka.

Inaonekana unauzoefu wa wanawake tofautitofauti lukuki ndiomaana unamuona anamapungufu. Tafuta vicheche straika vyenye uzoefu unaoutaka kukidhi mahitaji yako.Nina msichana wangu nampenda sana tatizo akija gettho msumbufu sana inapofika wakati wa tendo.
Napo mwitaji natumia nguvu sana kumshawishi anajifanya sitaki na taka anajiweka kama gogo atakunipapasa ataki ata akinipa analala kama kafa wakuu nifanyeje?
Hahahaaa. Nini tena Dada?
hamn kitu dadaHahahaaa. Nini tena Dada?
Ila love nimekufundisha mengi sana daah...
Nina msichana wangu nampenda sana tatizo akija gettho msumbufu sana inapofika wakati wa tendo.
Napo mwitaji natumia nguvu sana kumshawishi anajifanya sitaki na taka anajiweka kama gogo atakunipapasa ataki ata akinipa analala kama kafa wakuu nifanyeje?