Kila nikifanya mapenzi wiki nzima nasikia uchovu na usingizi

sanalii

JF-Expert Member
Oct 1, 2018
1,432
5,081
Kuhusu kitendea kazi, kiko salama, sina tatizo la nguvu za kiume ila nikimaliza tu, yaani wiki nzima nasikia uchovu, nasikia kulala lala tu.

Naweza lala mchana hata masaa matano kisha na usiku pia, nifanyeje niwe sawa?
 
kuhusu kitendea kazi, kiko salama, Sina tatizo la nguvu za kiume ila nikimaliza tu, yani wiki nzima nasikia uchovu, nasikia kulala lala tu, naweza lala mchana hata masaa matano kisha na usiku pia, nifanyeje niwe sawa?
Kacheki sukari. Inawezekana mwili wako unafanya kazi ukiwa na glucose chache
 
1. Unasex siku ngapi kwa wiki?

2. Unatumia MDA Kias gan kusex kila tendo ndani ya hiyo wiki?

3. Unasumbuliwa na magonjwa ya presha na kisukali au pumu?
 
1. Unasex siku ngapi kwa wiki?

2. Unatumia MDA Kias gan kusex kila tendo ndani ya hiyo wiki?

3. Unasumbuliwa na magonjwa ya presha na kisukali au pumu?
Duuu this is very alarming,

Yani hata ikiwa mara moja na bao moja, the next days nafeel uchovu mbaya sana
 
Let's say unajihusisha na kazi inayohitaji movement, unafanyaje kama sio kuomba ruhusa ikiwa mwili hauna nguvu?
Ni Hatari sana kwa welfare ya kazi na kujishughulisha kiujumla!!
Kumbuka mchana 90% ndio muda wa kuchakarika mkuu!
Endelea kusikiliza ushauri wa wakuu asee
 
Pata lishe nzito

Asubuhi
  • pata maziwa fresh nusu lita
  • Pata supu ya sato mzima
  • Kula matunda mchanganyiko
Mchana
  • Pata kitimoto rosti kilo moja
  • Ndizi nne
  • Wine kidogo
  • Kunywa maji ya kutosha
  • Juisi ya matunda fresh
  • Mboga mboga
Usiku
  • Mchemsho wa kuku mzima
  • Mboga za majani
  • matunda mchanganyiko
  • Juisi ya baridi
Ukila hivyo mwezi mzima, tatizo litakuwa limetibika kabisa
 
Pata lishe nzito

Asubuhi
  • pata maziwa fresh nusu lita
  • Pata supu ya sato mzima
  • Kula matunda mchanganyiko
Mchana
  • Pata kitimoto rosti kilo moja
  • Ndizi nne
  • Wine kidogo
  • Kunywa maji ya kutosha
  • Juisi ya matunda fresh
  • Mboga mboga
Usiku
  • Mchemsho wa kuku mzima
  • Mboga za majani
  • matunda mchanganyiko
  • Juisi ya baridi
Ukila hivyo mwezi mzima, tatizo litakuwa limetibika kabisa
Thanks, ntajaribu nione
 
Back
Top Bottom