Kila nikiamka

Kimbweka

JF-Expert Member
Jul 16, 2009
8,597
1,683
Wakuu habarini??
Mimi ni kijana wa miaka 34 bado sijaoa ila nina GF na huwa tunakutana kama mara 4 ama 5 kwa mwezi, Sasa tangu mwaka huu uanze kila nikiamka mtinange nao unaamka juuu unasimama kwelikweli kama dk 15 hivi ndo unarudi kawaida, sasa hii huwa inanitesa sana maana inabidi nikae dk hizo 15 kusubiri upoe ili nikapige bafu maana siwezi kutoka kwenda kupiga bafu watu ninao kaa nao unaweza kutana nao wakaona kitu kimetunisha nguo! Na je hii ni dalili ya kuoa sasa???
 
Dalili kuwa wewe ni mwanaume rijali hakuna hata chembe ya wasiwasi hapo. kitu kiko mwake Kimbweka.

Lakini pia miaka 34 ndo wakati mzuri wa kuoa kama mambo yako yamekaa sawa na umejipanga kuoa wakati/umri huu.
 
Kaka oa; wacha kujiiba na kujinyima; ukiwa nae hapo ukiamka anaushika na kuuppoza kwa blowjob pia hata kukutomasa sio lazima mdo kila wakati na kusimama ni haki yake we si Mwanaume bana!?
 
Dalili kuwa wewe ni mwanaume rijali hakuna hata chembe ya wasiwasi hapo. kitu kiko mwake Kimbweka.

Lakini pia miaka 34 ndo wakati mzuri wa kuoa kama mambo yako yamekaa sawa na umejipanga kuoa wakati/umri huu.

Mkishaanza kuzitazama ndoa kwa miazania ya kiuchumi ndo hapo mnafikisha mpaka 40 bado mna bung'aa hey now is the right time kama hukujipanga back then; mwenzio akija atakusaidia kupanga!

Acheni ku cmplicate mambo................mnajipanga kufanyaje ............kuinunua BOT? ama?:yawn:
 
Dalili kuwa wewe ni mwanaume rijali hakuna hata chembe ya wasiwasi hapo. kitu kiko mwake Kimbweka.

Lakini pia miaka 34 ndo wakati mzuri wa kuoa kama mambo yako yamekaa sawa na umejipanga kuoa wakati/umri huu.

Point taken
 
Mkishaanza kuzitazama ndoa kwa miazania ya kiuchumi ndo hapo mnafikisha mpaka 40 bado mna bung'aa hey now is the right time kama hukujipanga back then; mwenzio akija atakusaidia kupanga!

Acheni ku cmplicate mambo................mnajipanga kufanyaje ............kuinunua BOT? ama?:yawn:

MJ, you have said it all. Tatizo la vijana wengi ni kujidanganya kuwa ili waoe ni mpaka wajiandae kiuchumi (yaani anunue gari, kiwanja, sofa za kisasa etc). Utakuta kijana anakipato cha kutosha kujitegemea lakini eti kwa sababu hajanunua vitu fulanifulani anaona muda wa kuoa bado. Matokeo yake vijana wanajikuta wakifanya uhuni na kuharibu maisha yao.
 
Mkishaanza kuzitazama ndoa kwa miazania ya kiuchumi ndo hapo mnafikisha mpaka 40 bado mna bung'aa hey now is the right time kama hukujipanga back then; mwenzio akija atakusaidia kupanga!

Acheni ku cmplicate mambo................mnajipanga kufanyaje ............kuinunua BOT? ama?:yawn:

Sasa MJ mambo yote yanaenda kwa plans bana sio kukurupuka tu hata kama umri ndo umefika ingawa umri nao una sehemu yake. na sio kiuchumi tu kwenye kujipanga hata kimaisha kama yuko tayari kuishi na mtu mmoja tu for the rest of his life time. na kama pia kapata mtu ambaye yuko tayari kuishi naye maana si ajabu huyo aliye naye hayuko tayari kuwa mke wake. it all lies between them if they are ready to live together forever.
 
Mkishaanza kuzitazama ndoa kwa miazania ya kiuchumi ndo hapo mnafikisha mpaka 40 bado mna bung'aa hey now is the right time kama hukujipanga back then; mwenzio akija atakusaidia kupanga!

Acheni ku cmplicate mambo................mnajipanga kufanyaje ............kuinunua BOT? ama?:yawn:

Kaka si unajipanga kupokea wageni duniani kwani unajipanga nini tena
 
MJ, you have said it all. Tatizo la vijana wengi ni kujidanganya kuwa ili waoe ni mpaka wajiandae kiuchumi (yaani anunue gari, kiwanja, sofa za kisasa etc). Utakuta kijana anakipato cha kutosha kujitegemea lakini eti kwa sababu hajanunua vitu fulanifulani anaona muda wa kuoa bado. Matokeo yake vijana wanajikuta wakifanya uhuni na kuharibu maisha yao.

Hapo chacha! Na kwa bahati mbaya huwa hawafanikiwi kuwa tayari maana hata wale mabinti wanowafikiria kuwarushia kamba nao huwa nao wanaendelea kujiandaa, hivyo basi kila kijana akipiga chabo anakuta binti yupo mbele kinoma kijana wa kiume anarudi tena kwenye mchoro...miaka inaenda
 
Hapo chacha! Na kwa bahati mbaya huwa hawafanikiwi kuwa tayari maana hata wale mabinti wanowafikiria kuwarushia kamba nao huwa nao wanaendelea kujiandaa, hivyo basi kila kijana akipiga chabo anakuta binti yupo mbele kinoma kijana wa kiume anarudi tena kwenye mchoro...miaka inaenda

Binti akiwa mbele zaidi kinoma si ndo poa zaidi sioni baya hapo
 
Ukiona unaamka halafu mshkaji hajaamka....basi we kwisha jeuri yako....hata ukioa...au umechelewa kubalehe?? Its a normal routine kaka, though muda unatofautiona.
 
Wakuu habarini??
Mimi ni kijana wa miaka 34 bado sijaoa ila nina GF na huwa tunakutana kama mara 4 ama 5 kwa mwezi, Sasa tangu mwaka huu uanze kila nikiamka mtinange nao unaamka juuu unasimama kwelikweli kama dk 15 hivi ndo unarudi kawaida, sasa hii huwa inanitesa sana maana inabidi nikae dk hizo 15 kusubiri upoe ili nikapige bafu maana siwezi kutoka kwenda kupiga bafu watu ninao kaa nao unaweza kutana nao wakaona kitu kimetunisha nguo! Na je hii ni dalili ya kuoa sasa???
Miaka 34 hujaoa? hapo kuna tatizo ndg yangu fanya haraka uoe sielewi unasubiri nini mpaka umri huo. Mke ni muhimu sana kwenye kuweka maisha sana na pia wanasaidia sana kuweka dira katika maisha. Ni washauri wazuri kuhusu maendeleo na mipango kwa ujumla. Gharama za kuishi na girl friend ni kubwa sana ukilinganisha na kuwa na mke

Mke ndio anakushauri kujenga na pia ni wasimamizi wazuri sana kwenye mambo kama hayo na pia wako sensitive sana na bei tofauti na w/ume hiyo husaidia kubana matumizi na kufikia malengo makubwa sana katika umri mdogo

Kwa sasa una miaka 34 tuchukulie utaoa mwakani ukiwa 35 ukijakupata mtoto akifika miaka 10 wewe unakuwa 45 akifika 20 (umri wa kuwa chuo kikuu) wewe unakuwa 55 umri wa kustaafu kwa hiari sasa uoni kuwa huyo wa kwanza tu atakugharimu kimasomo muda wako waote unapokuwa unafanya kazi achilia hao watoto watakaozaliwa baadae. Oa haraka sana kabla hujachelewa zaidi kitaalamu ilitakiwa ukiwa 50 watoto wote wawe wamemaliza chuo kikuu ili hela unayopata ijuandae kwa ajili ya kustaafu, kwa wewe hilo umeshachelewa siku unapostaafu ujue last born ndio anamaliza form six sasa sijui chuo atalipiwa na nani
 
Miaka 34 hujaoa? hapo kuna tatizo ndg yangu fanya haraka uoe sielewi unasubiri nini mpaka umri huo. Mke ni muhimu sana kwenye kuweka maisha sana na pia wanasaidia sana kuweka dira katika maisha. Ni washauri wazuri kuhusu maendeleo na mipango kwa ujumla. Gharama za kuishi na girl friend ni kubwa sana ukilinganisha na kuwa na mke

Mke ndio anakushauri kujenga na pia ni wasimamizi wazuri sana kwenye mambo kama hayo na pia wako sensitive sana na bei tofauti na w/ume hiyo husaidia kubana matumizi na kufikia malengo makubwa sana katika umri mdogo

Kwa sasa una miaka 34 tuchukulie utaoa mwakani ukiwa 35 ukijakupata mtoto akifika miaka 10 wewe unakuwa 45 akifika 20 (umri wa kuwa chuo kikuu) wewe unakuwa 55 umri wa kustaafu kwa hiari sasa uoni kuwa huyo wa kwanza tu atakugharimu kimasomo muda wako waote unapokuwa unafanya kazi achilia hao watoto watakaozaliwa baadae. Oa haraka sana kabla hujachelewa zaidi kitaalamu ilitakiwa ukiwa 50 watoto wote wawe wamemaliza chuo kikuu ili hela unayopata ijuandae kwa ajili ya kustaafu, kwa wewe hilo umeshachelewa siku unapostaafu ujue last born ndio anamaliza form six sasa sijui chuo atalipiwa na nani

Hivi wewe unafikiria kuajiriwa tu na kustaafu, si mtu unaendesha miradi yako na mapesa ya chuo unakuwa nayo! Hii sioni kama ni kuchelewa kabisa
 
Hivi wewe unafikiria kuajiriwa tu na kustaafu, si mtu unaendesha miradi yako na mapesa ya chuo unakuwa nayo! Hii sioni kama ni kuchelewa kabisa
sasa hiyo miradi utaiandaa vp wakati watoto bado wanasoma, huwezi kuwa sawa na yule aliyeoa na aliyezaa mapema ambaye ktk age zile za ukingoni anaweza kujipanga vizuri muda mzuri wa kulea watoto ni wakati una nguvu za kufanya kazi sio unalea watoto kama wajukuu huo umri wa miaka 34 bila mke ni issue kibongo bongo kwa sababu ya umaskini wetu tunaona kama sawa lakini si sawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom