Mtoto wa kitaa
Senior Member
- Nov 7, 2012
- 149
- 17
Jamani wanajamiiforums nisaidieni ,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 ,ni muda mrefu sasa yapata miaka mitano kila mwanamke ninayemtongoza ananikataa nishaurini nifanyeje watalaamu umri nao unasogea na naitaji mwanamke wa kuwa mke wa baadaye,yaani inafika wakati nakata tamaa kabisa kumtokea ata mwanamke nitakaye mpenda nikihofia atanikataa tu na kuna wengine nikiwaomba ata nafasi ya kuongea nao ili nitoa ya moyoni mwangu wanakataa Natanguliza shukrani naombeni ushauri.