Kila Mtu Aweke Uongo Wake Hapa

Halloo mzee nakusikia, sema mimi kuja huko kwa sasa haiwezekani nimepata kazi ya kumtafuta mganga wake Mbowe amemkimbia, nipo njiani natembea nikitulia ntakupigia tu mzazi wangu hata usijari.
 
f6cbb405c6070d19e650c09e43b11e01.jpg
"Nimecheka hadi wachawi huko nje wanaomba wanisaidie kushea nilichokiona jf
wamenisamehe kunilimisha mashamba ya usiku huuu
 
Ukitaka tukosane nije kwako unitengee mezani hivi vitu
1.Mayai ya kukaangwa
2.Chapati za mayai
3.Chips
4.Wali kuku au pilau
5.Wali samaki
6.Sambusa
7.Nyama rost
8.Nyama ya mbuzi
9.Mkate uliotiwa blueband au asali
10.Chai ya maziwa
11.Maziwa
12.Na mengine yanayofanana na hayo

Nakwambia sirudi tena kwako, tutakuwa tunapishana njiani kama tusiojuana.

Sent from my cupboard using mug
 
Nina miaka 44 sijawahi kusema uongo tangu nizaliwe, Mchepuko wangu tu ndo hauniamini nikiuambia nipo home na wife subiri tu chart kesho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom