Kila Mtu Aweke Uongo Wake Hapa

f6cbb405c6070d19e650c09e43b11e01.jpg
Huu uongo kiboko!
 
Nitakapokuwa Rais wa nchi hii kelelekelele zote za sasa hazitakuwepo. Itakuwa nchi ya maziwa na asali!
 
Mi ndo naongoza kwa kuwa na likes nyingi zaid kuliko members wote hapa jf
 
Juzi natoka usingizini nagundua maisha yangu yote hadi hapa nilipofika ni ndoto sasa nimejikuta niko la nne
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom