Kila mtu amekuwa mtaalamu wa computer!

Kila mtu amekuwa mtaalamu wa computer!

Cheap is expensive.Wengi wanapenda vitu vya bei nafuu,fundi wa computer hajui hata umuhimu wa kubackup data kama anaformat,by the way solution ya kuformat ni ya watu ambao si experts,hii ni option ya mwisho kabisa.Mtu computer ina virus kibao,antivirus yake ni ya bure na haiko updated,fundi anamwambia solution ni kuformat wakati anahitaji antivirus nzuri tu.

Endeleeni kuibiwa na kupotezewa data zenu mpaka mtakapoelewa kwanini kuna certificate,diploma ,degree na experience is the best teacher.Kuna watu nilitaka kuwafanyia kazi nikawambia 2M,akaja mwingine 1.6M sijui walimpa yeye au walipata wa chini zaidi,aka extend network yao.Siku wamepata tatizo wananiita nikakuta kazi ilifanyika ina hata termination ya cable inaonyesha ni mwanafunzi au haelewi.Within a short time nikatatua tatizo lao huku nikiwaelimisha na kuwaambia "cheap is always expensive.

Tatizo hii fani ya IT hakuna board inayosimamia kama kwa mfano wahasibu,kuna kazi huwezi fanya kama hujakidhi vitu fulani,sasa huku IT kila mtu ni IT,kila chuo kikianzishwa hakijakamilika kama hawafundishi IT(kufundisha IT si shida issue ni how competent walimu wao walivyo).
So tuendelee hivyohivyo,nyie mmeona ya mtaani tu lakini hata kuna makampuni ya IT bado wafanyakazi baadhi siyo competent.Hii ni opportunity kwako unayejiamini uko safi,just stand out of the crowd.
 
Mkuu sijui nini, kwa kuwa haupo kibishara I hope nitapata msaada mzuri wa ushauri...

I have Dell Laptop. Tatizo ni kwamba, ninapojaribu kuiwasha, huwa inatoa mlio wa kugonga na hivyo kushindwa kuwaka mara moja. Huu mlio huwa ni endelevu, nilishawahi ku-count nione utaishia wapi lakini hadi nafika 15, mlio ulikuwa unaendelea bila laptop kuwaka. Inapotokea hali kama hiyo, basi ni lazima niitekenye sana ndipo finally itawaka.

The question is: are you familiar with that problem? Do yu have any recommendation... kwa maana fundi unayemfahamu anayeweza ku-deal na issue kama hii? Nalazimika kuuliza kwanza coz' siku nyuma nimeshawahi kupoteza laptop mara mbili baada ya kuzipeleka kwa fundi! Good enough, wakati huo nilikuwa na uwezo wa kupata pesa ya chapchap na kuweza nunua nyingine pindi laptop inaponifia. For the time being, mnh! So, naogopa nisije nikapeleka kwa fundi kichwa kichwa na matokeo yake ndo nikashindwa moja kwa moja hata kuiwasha kwa kuitekenya na hivyo kusimamisha shughuli zangu moja kwa moja! Kama nitapata highlights, I hope hata ninapokutana na fundi, naweza kulinganisha maelezo yako na yake hata kama hayawezi kuwa sheria! Mathalani, ikiwa unasema tatizo is probably motherboard halafu yeye anasema tatizo ni DVD Rom basi bila shaka hapo busara itakuwa ni kumwambia "okay, nitakucheki basi mambo yakishakaa level...!"

Anyway, BETTER TO BE SAFE THAN SORRY!
Pole sana mkuu...ila hapo unaposema unatoa mlio wa kugonga sijakuelewa kidogo...sauti inakuwa kama beep flani hivi au kama vitu vinakuwa vinagongagonga kwa ndani? mana kugonga na mlio wa beep ni vitu viwili tofauti...na huwa inawaka baada ya huo mlio au mpaka uzime na uwashe tena??

So kama ni mlio wa kama vitu vinagonga itakuwa ni harddisk imeanza kuchoka..(mara nyingi inakuwa kama inagonga hivi au kutoa sauti ya mikwaruzo flani kwa ndani) na hii pia husababisha sometimes pc kushindwa kuload windows au kuwatumia mda mrefu sana kuwaka na wakati mwengine kustack stack tu bila sababu au kujizima tu ghafla... Solution yake simple ni kubadilisha harddisk tu..mafundi watakuibia manake ni watu wachache sana wanaoweza kudili na harddisk kwa kuifungua ndani na bei yake ni bora ununua mpya isitoshe kama imeshaanza kuchoka huna namna..ipo siku itazima na ndo haitawaka tena...so kama huna backup ya data zako za muhimu anza sasa(ofcozi swala la backup watu wengi wanasubiri mpaka wapate matatizo ndo waanza kubackup ila ushauri ni kuwa backup ya data zako should be your life..make sure una backup ya kila kitu chako muhimu ambacho hunauhakika wa kukipata kwa urahisi endapo kitapotea)

Kama huwa inatoa mlio wa beep halafu inawaka then inaweza ikawa kuna key kwenye keyboard yako imejibonyeza au iliingia maji au kuna kitu kinasababisha iji short circuit jaribu kuangalia vizuri kwenye key za ketboard zako kama kuna key imelegea au ikiwaka ingia kwnye word au notepad na ujaribu key zote kama zinafanya kazi sawasawa..

Kama ni mlio wa kama beep hivi kwa maelezo yako inawezekana ikawa kuna tatizo kwenye ram zako/yako au ile port ya kuweka rama tatizo la hapa ni kuwa pc haiwaki kabisa hata ufanyaje labda uzime tena na kuichokonoa chokonoa kidogo inaweza kuwaka kama tu labda ram imakeaa vibaya au nayo imeanza kuchoka so unavyoiwasha tena inaweza ikawaka ila sababu hujasolve tatizo bado litajirudia tena wakati mwingine...sasa hapa kuna mambo mengi..inaweza ikawa ni ram ndo inashida au pengine imekaa vibaya tu kutokana na mitikisiko ya matumizi ya kila siku labda kuna siku ilianguka au kujigonga mahali au inaweza ikawa ni port (ile sehem inayokaa ram ndo inashida)..so kujua hapo tatizo ni nini inabidi ufanye simple troubleshooting...zima pc then fungua sehem inayokaa ram(nyuma ya laptop pc nyingi wameweka na kialama kabisa cha ram kwenye mfuniko wake) then kama kuna ram moja au mbili zitoe zote..kisha washa pc yako..itatoa mlio wa beep flani hivi ILa pc haitawaka..so linganisha huo mlio na huo ambao huwa unauskia kama inafanna...kama inafanana tatizo litakuwa ni RAM au hiyo sehem inayokaa Ram inashida...ingawa mara nyingi tatizo huwa ni ram..so kama unarama zaid ya moja jaribu kuzibadilsha kwa kuweka mojamoja na kujaribu kuwasha mpaka utaipata yenye shida na ufanye hivyo hivyo kama kuna sehem zaidi ya moja ya kuweka ram mwisho wa siku utajua tu tatizo liko wapi..kama una ram moja tu inabidi upate ram nyingine ambayo unaahakika ni nzima na inafanana na hiyo ya kwako ujaribu kwako..kama ilikuwa kuna tatizo mahali utagundua hapo...kama nlivyosema inawezekana ikawa ni ram ilikuwa imekaa vibaya tu..

kama hayo maelezo yote hapo juu hayaendani na tatizo lako basi inabidi utulie ufatilie kwa makini hizo beep zinazotoka zinatokaje...manake kunatofauti kati ya bip-bip na bip-bip-bip zinazojirudia na kila moja inamaana yake kwenye pc..so zifatilie hizo sauti kwa makini kisha kwa kuanza nenda hii link inna maelezo ya maana ya hizo beep codes na maana zake kwa pc za dell( hapa wameelezea alienware systems ila mara nyingi hizo peeb huwa zinafana kwa pc nyingi) : Alienware Systems: My computer shows no image, is beeping or the indicator lights are blinking (No POST / Codes Table) | Dell US

na kama na hapo hamna msaada basi ni dalili mbya kuwa kuna fault kwenye motherboard ya pc yako!! hapo sasa kwa kawaida mimi siwashauri sana watu kubadilisha motherboard za pc yake haswa kama ni mtumiaji wa kawaida kabisa wa pc(ambae ana ujuzi kidogo sana ukiacha kuwasha na kutumia kwa mambo yake binafsi) manake kubadili motherboard kuna mambo mengi na isitoshe ni bora kujikamua kununua pc iliyokamilika kuliko kununua motherboard..
 
Mkuu sijui nini

Ahsante kwa maelezo yako! Kwa kweli hili tatizo am certain halihusiani na keyboard au hard disk... in fact, hili tatizo ninalo kwa zaidi ya miezi sita sasa na lilianza kujitokeza wakati nimeitumia for only one year! Binafsi, ninashuku hiyo hoja yako ya mwisho kwamba probably ni motherboard but I am afraid to take the risk ya kugharamia motherboard kwa fundi halafu bado tatizo linabaki pale pale!!

Tukija upande wa huo mlio, kimsingi ni kwamba ina-beep... lakini nimetumia neno kugonga coz' beeping yake inatoa sauti kali sana tofauti ni hii beeping ya kawaida! And if i have to categorize it kati ya "bip bip" na "bip bip bip", basi hiyo beep beep beep ndo yenyewe hasa. Few hours ago nilijaribu ku-visit Dell's community forum... huko nimekuata ni tatizo la kawaida kabisa kwa Dell Laptops lakini ni kama wenyewe hawajui solution ni nini unless kama wanafanya makusudi ili watu wanunue new laptops!
 
Last edited by a moderator:
anachokisema mkuu hapo juu ni kweli kabisa..sawa inatakiwa kama mtumiaji wa kitu chochote uwe unajua jinsi ya kutatua mambo madogomadogo..ila kwa hali ilivyo sasa huko mitaani si nzuri kila kona fundi kompyuta na ukienda na tatizo lolote lile hata kama adapter haichaji utaambiwa kuformatt..mi nlishenda sehem kununua tu kitu kingine nikakuta mtu amepeleka pc yake adapter inapga shoti wakambia inabid kuformatt..nilishangaa sana..so anachosema ni sahihi..sio wote ila wengi wa hawa vijana mitaani wanaojiita mafundi ni shida tupu..kama kweli wanania wanatakiwa kujifunza zaidi..tatizo unakuta hata mda wa kukaa kufungua tu online kujifunza vitu zaidi wengi wao ni games au picha za ajabu tu wakati wanainternet full time..
Fahamuni kitu kimoja tu,wale mafundi pasi,redio za mkulima na simu za siemen za mwanzo na nokia tochi -ndio mafundi wetu wa sasa wa computers,na smart phones-kwa mafundi hawa wameniulia laptop mbili,smartphone 4(za kwangu wife na mtoto)kifupi ukiwakabidhi device yako then nenda kafanye maombi irudi salama!
 
duh. mtu ameweka ram ya ddr2 5300 kwenye mobo inayo support maximum speed 4200. pc imegoma kuwaka anasema hii pc ni mbovu inachagua ram....... na ni fundi wa computer...

hahahaaaaaaa! Hii mada imenikosha sana .. Nlikuwa na ka acer min kangu miaka ya nyuma kidogo wakati sina ujuzi na mambo haya kakawa kana waka ila black screen nkapelea kwa fundi hivi posta pale ,,hahahaaaa akanambia dsply duu, kufunga ikagoma, akasema prcsor akafunga ikamgomea tena hahahaha akahangaika nayo hadi ikazima kabisa akanambia tatizo ilipiga shock so alivo eka tu procsr ikafa. Baada ya dogo kupiga kozi ya uhakika akanambia bro lete mashine tuiwashe lol!! Dk 10 nyingi mashine ikawaka nkaona nimpe tu iwe yake. Mafundi njaa hawa ni sheeeeda!!
 
Mkuu sijui nini

Ahsante kwa maelezo yako! Kwa kweli hili tatizo am certain halihusiani na keyboard au hard disk... in fact, hili tatizo ninalo kwa zaidi ya miezi sita sasa na lilianza kujitokeza wakati nimeitumia for only one year! Binafsi, ninashuku hiyo hoja yako ya mwisho kwamba probably ni motherboard but I am afraid to take the risk ya kugharamia motherboard kwa fundi halafu bado tatizo linabaki pale pale!!

Tukija upande wa huo mlio, kimsingi ni kwamba ina-beep... lakini nimetumia neno kugonga coz' beeping yake inatoa sauti kali sana tofauti ni hii beeping ya kawaida! And if i have to categorize it kati ya "bip bip" na "bip bip bip", basi hiyo beep beep beep ndo yenyewe hasa. Few hours ago nilijaribu ku-visit Dell's community forum... huko nimekuata ni tatizo la kawaida kabisa kwa Dell Laptops lakini ni kama wenyewe hawajui solution ni nini unless kama wanafanya makusudi ili watu wanunue new laptops!

pamoja na maelezo mazururi ya @sujui nini lakini pia hizo biping kwa del zinaweza kuwa ni uhitaji wa ku configure BIOS inaweza kuwa kuna hardware ina miss wakati ilisha tambulishwa kwe BIOS au CMOS batt ipo low huwa ina beep pia,au kuna software zipo activated kwenye BIOS SETUP wakati hardware zake zina fail au hazipo eg. FAN, WLAN,BLUETOOTH, LAN,IDE1or 0,2or any ,ATA(any), USB( high speed or any) ,nk. Vipo vingi ambavyo huweza kusababisha buzzer itokee ingawa pc itawaka endapo kinacho fail hakiathiri boot systm.
fuatilia hizo buzzer kama zinakuja na screen notification.
 
Last edited by a moderator:
Athen hilo tatizo la PC yako inaeza kuepo kati ya maeneo mawili:
Kwanza, inaezakua operating system(OP) haifanyi kazi vizuri au imekufa kutokana na sababu mbalimbali kama vile virus,hard disk imekufa, uliformat pasipo kujua n.k. Jaribu kurepair au kuinstall window mpya kama ikiwezekana. Suluhisho lingne ni kubadili hard disk ikiwa imekufa.
pili jaribu pia kufuata ushauri wa #SijuiNini kuchek memory (RAM) kama zinafanyakazi au zmekufa. kama zmekufa unaeza kuzbadili kwa kuweka nyingne mpya.
kila la heri!
 
Last edited by a moderator:
Athen hilo tatizo la PC yako inaeza kuepo kati ya maeneo mawili:
Kwanza, inaezakua operating system(OP) haifanyi kazi vizuri au imekufa kutokana na sababu mbalimbali kama vile virus,hard disk imekufa, uliformat pasipo kujua n.k. Jaribu kurepair au kuinstall window mpya kama ikiwezekana. Suluhisho lingne ni kubadili hard disk ikiwa imekufa.
pili jaribu pia kufuata ushauri wa #SijuiNini kuchek memory (RAM) kama zinafanyakazi au zmekufa. kama zmekufa unaeza kuzbadili kwa kuweka nyingne mpya.
kila la heri!
Mkuu Ndeshau,

Ahsante kwa maelezo yako. Kuhusu Hard Disk. Nilijaribu kutoa hard disk kisha nika-boot from CD... problem ikawa pale pale... nika-assume inawezekana tatizo sio hard disk. Kuhusu formatting... hili tatizo lilianza wakati sijaitumia hata mwaka sijamaliza tangu niinunue na kwa kipindi chote hicho sikupata kui-format in anyway or even updating window. In those old days, ningeweza kujaribu mara mbili au tatu... maximum mara tano na mwishowe inawaka lakini kwa sasa unaweza kutumia zaidi ya saa 3 unaitekenya ndipo inawaka! Kwa nilivyona maelezo ya wateja wengine kwenye Dell Community page, am very certain itafika wakati itakuwa haiwaki moja kwa moja coz' maelezo ya wateja wengi kule community page ndo hayo... kwamba whatever they do, haiwaki kabisa!!!!

Tatizo lingine ni kwamba, nikiangalia milio ambayo Dell wanaielezea, naona huu wa kwangu kama ni tofauti... coz' wao wanataja idadi ya milio... in most cases from 1 to 8. Kwenye laptop yangu niliwahi kuhesabu na ikafika hadi 15 na bado ikawa inaendelea! Ninaposema milio 15 refer na mzunguko wa mshale wa saa lakini speed ipungue sana (about 3 seconds between consecutive beeps). Tofauti nyingine ni kwamba huu mlio unatoa sauti kali kidogo unayoweza kuiskia hata umbali wa mita 3-5 kutoka kwenye source.

Unfortunately am not a computer guy labda ningeangalia hilo suala la BIOS. Aidha, nitajaribu kucheki suala la RAM coz' nalo sijaangalia.

C.c LOOOK, sijui nini
 
Last edited by a moderator:
Hawa mafundi makanjanja wa mitaani huku esp kkoo ndio wengi wanao tuharibia sifa ss wataalam wa IT.
 
Hahaha! naona una bif na wazee wa kuformat kwa kila tatizo...
Watu wakikosa ajira vitu kama hivi lazima viwepo mbona, kuformat wanapiga hela maana atakuchaji hadi softwares kuinstall upya, hahaha

Hahaha, umenivumnja mbavu mkuu. kuna mtu ameharibu MacBook Air hivi karibu kwa kupeleka kwa fundi wa mtaani aka clear OSX kumbe mwenye laptop kasahau BIOS password
 
Samahani mdugu, nataka kununua Computer (Desktop) kwa ajili ya Ofisini na Ofisini kwangu kazi ni nyingi je ciomputer nzuri inatakiwa iwe na nini? au uwezo gani? Pia aina ya Kampuni yenye Computer nzuri ushauri plse





kweli kaka upo sahihi, but kuna watu wengi nowday hua wanajifanya ni mafundi haswa upande wa hardware hua wanaharibu sana hili suala nakutana nalo mara nyingi sana kwa upande motherboard, na husababisha hasara kubwa sana kwa mwenye mali.

MFANO, kuna baadhi ya laptop acer mini zikileta black screen hapo inabidi ku-update bios kwa utu aliye-kariri ataacha ku-repair display processor na hapo ndio unakua mwisho wa computer kumbe tatizo lilikua ni ku-update bios kwa kutumia usb so hapo tatizo linakua kubwa sana inabidi kubadili motherboard.

Ushauri. kama computer yako ina tatizo kama sio mzoefu haswa masuala ya hardware jaribu vitu vidogo kama, kufuta vumbi, kubadili ram, hdd, processor, sound card, kwa complex issues kama kubadili ic, ac, capacitor, power unit, power diode, kupima components kwenye motherboard ni vizuri hizo kazi waachiwe wenye hiyo fani il kuepika hasara.
 
duh. mtu ameweka ram ya ddr2 5300 kwenye mobo inayo support maximum speed 4200. pc imegoma kuwaka anasema hii pc ni mbovu inachagua ram....... na ni fundi wa computer...
Wenzio mamekariri DDR1 zote zinaingiliana,DDR2 zote zinaingiliana hivyo hivyo kwa DDR3 hayo ya speed hawayajui!!!
Nishawahi kuvuna RAM nyingi tu eti mbovu kumbe.....
 
Alafu kitu kingine hawa vijana wameshusha ghalama ya kuservice computer na kuformat zamani miaka ya 2004 wakati nimetoka India kusoma hapa town kuformat computer tulikuwa tuna chaji siyo chini ya laki moja na nusu mpk laki mbili inategemea na mtu lakini siku hizi hawa watoto wanaformat kwa sh elfu tano? Jamani hata Microsoft wanasema kufanya installation isiwe chini ya USD 50 yani mpaka inauma Sana.
Installation yenyewe ni fake OS?
Watu wanapiga Hadi buku 2 wapate Kiepe yai
 
Cheap is expensive.Wengi wanapenda vitu vya bei nafuu,fundi wa computer hajui hata umuhimu wa kubackup data kama anaformat,by the way solution ya kuformat ni ya watu ambao si experts,hii ni option ya mwisho kabisa.Mtu computer ina virus kibao,antivirus yake ni ya bure na haiko updated,fundi anamwambia solution ni kuformat wakati anahitaji antivirus nzuri tu.

Endeleeni kuibiwa na kupotezewa data zenu mpaka mtakapoelewa kwanini kuna certificate,diploma ,degree na experience is the best teacher.Kuna watu nilitaka kuwafanyia kazi nikawambia 2M,akaja mwingine 1.6M sijui walimpa yeye au walipata wa chini zaidi,aka extend network yao.Siku wamepata tatizo wananiita nikakuta kazi ilifanyika ina hata termination ya cable inaonyesha ni mwanafunzi au haelewi.Within a short time nikatatua tatizo lao huku nikiwaelimisha na kuwaambia "cheap is always expensive.

Tatizo hii fani ya IT hakuna board inayosimamia kama kwa mfano wahasibu,kuna kazi huwezi fanya kama hujakidhi vitu fulani,sasa huku IT kila mtu ni IT,kila chuo kikianzishwa hakijakamilika kama hawafundishi IT(kufundisha IT si shida issue ni how competent walimu wao walivyo).
So tuendelee hivyohivyo,nyie mmeona ya mtaani tu lakini hata kuna makampuni ya IT bado wafanyakazi baadhi siyo competent.Hii ni opportunity kwako unayejiamini uko safi,just stand out of the crowd.
samahani ninaweza pata mwasiliano yako
 
Back
Top Bottom