Kila mtoto duniani lazima afanane na baba yake.

Kila mtoto duniani lazima afanane na baba yake.

Samia atosha tukutane2030

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
17,168
Reaction score
48,681
Huu ndio ukweli.
Uzae mtoto wa kiume au wa kike lazima atafanana na wewe baba yake.
Baba yetu ana watoto karibu 20, na wote kafanana nao kwa sehemu fulani bila kujali jinsia zao.
Mungu ameamua kufanya hivi ili kumpa baba imani zaidi au uhakika na uhalali wa mtoto wake.
Huwezi kuwa na doubt juu ya mtoto ni wako au umepigwa chenga .
Mungu alijua wanaume sisi ni watata hatuuvumilii usaliti that's why anaamua hivyo.
Mtoto wa mke wako asipofanana na wewe huyo mtoto si wako bali wa mke wako. Mlee tu ili upate thawabu.
 
Huu ndio ukweli.
Uzae mtoto wa kiume au wa kike lazima atafanana na wewe baba yake.
Baba yetu ana watoto karibu 20, na wote kafanana nao kwa sehemu fulani bila kujali jinsia zao.
Mungu ameamua kufanya hivi ili kumpa baba imani zaidi au uhakika na uhalali wa mtoto wake.
Huwezi kuwa na daught juu ya mtoto ni wako au umepigwa chenga .
Mungu alijua wanaume sisi ni watata hatuuvumilii usaliti that's why anaamua hivyo.
Mtoto wa mke wako asipofanana na wewe huyo mtoto si wako bali wa mke wako. Mlee tu ili upate thawabu.
Eboo!!
 
Huu ndio ukweli.
Uzae mtoto wa kiume au wa kike lazima atafanana na wewe baba yake.
Baba yetu ana watoto karibu 20, na wote kafanana nao kwa sehemu fulani bila kujali jinsia zao.
Mungu ameamua kufanya hivi ili kumpa baba imani zaidi au uhakika na uhalali wa mtoto wake.
Huwezi kuwa na daught juu ya mtoto ni wako au umepigwa chenga .
Mungu alijua wanaume sisi ni watata hatuuvumilii usaliti that's why anaamua hivyo.
Mtoto wa mke wako asipofanana na wewe huyo mtoto si wako bali wa mke wako. Mlee tu ili upate thawabu.
Aysee mbona umeandika kwa uchungu hivo??Ushapigwa nini na single mother,unaleta makasiriko🤣🤣.
 
Ni sawa sababu Mtoto anarithi 50% kutoka kwa mama na 50% kutoka kwa baba...
Tatizo wengi wanaangalia sura, kumbe anaweza arithi hata kucha.
 
kwakweli katika hili swala tukiacha unafiki kuna ufahari fulani si kwa mwanaune tu hata kwa mwanamke aliyewazaa,watoto kufanana na baba yao.

mimi nimekua katika familia iliyonilea,walipata mapacha.
wakike alienda kwa baba mpaka rangi,wa kiume akaenda kwa mama mpaka rangi.pale ndipo nilijifunza haya mambo.
mtu akija ghafla akakutana na wa kiume na baba yake atasema wanafanana.ila akija kumwona mama yake anatengua kauli tena,vivyo hivyo na kwa wa kike.nilikuja kugundua baadae wa kiume amefanana na baba yake paji la uso na macho.

mimi binafsi nimekuja kugundua nafanana sana na baba yangu baada ya kupata watoto,wamefanana na babu yao sio kidogo,maana ni vigumu wewe mwenyewe kujifananisha.
 
Huu ndio ukweli.
Uzae mtoto wa kiume au wa kike lazima atafanana na wewe baba yake.
Baba yetu ana watoto karibu 20, na wote kafanana nao kwa sehemu fulani bila kujali jinsia zao.
Mungu ameamua kufanya hivi ili kumpa baba imani zaidi au uhakika na uhalali wa mtoto wake.
Huwezi kuwa na daught juu ya mtoto ni wako au umepigwa chenga .
Mungu alijua wanaume sisi ni watata hatuuvumilii usaliti that's why anaamua hivyo.
Mtoto wa mke wako asipofanana na wewe huyo mtoto si wako bali wa mke wako. Mlee tu ili upate thawabu.
Nimefanana copyright na Bibi mzaa mama
 
kwakweli katika hili swala tukiacha unafiki kuna ufahari fulani si kwa mwanaune tu hata kwa mwanamke aliyewazaa,watoto kufanana na baba yao.

mimi nimekua katika familia iliyonilea,walipata mapacha.
wakike alienda kwa baba mpaka rangi,wa kiume akaenda kwa mama mpaka rangi.pale ndipo nilijifunza haya mambo.
mtu akija ghafla akakutana na wa kiume na baba yake atasema wanafanana.ila akija kumwona mama yake anatengua kauli tena,vivyo hivyo na kwa wa kike.nilikuja kugundua baadae wa kiume amefanana na baba yake paji la uso na macho.

mimi binafsi nimekuja kugundua nafanana sana na baba yangu baada ya kupata watoto,wamefanana na babu yao sio kidogo,maana ni vigumu wewe mwenyewe kujifananisha.
Yes. Good.
Mtoto= baba= mtoto
 
Back
Top Bottom