Insight, Initiative, Creativity, Self Driven, Focus, Flexibility, Versatility, Vision, Persistence, Agility, Hardworking, .... and the list goes on.Naona kitu kinachojirudia ni talent kwenye hii topic,sasa mnatumia measure ipi kujua hizo talent?
Insight, Initiative, Creativity, Self Driven, Focus, Flexibility, Versatility, Vision, Persistence, Agility, Hardworking, .... and the list goes on.
Mfano umesikia mkuu wa mkoa fulani kijana ameenda China kutafuta wawekezaji waje kuwekeza ktk mkoa wake ili kuleta maendeleo.
Kwa hivyo nawewe unaamini kazi ya kuleta maendeleo imeketazwa kisheria au/na kimaadili ya umma kufanywa na mkuu wa mkoa ndani ya mkoa wake?Embu soma michango ya watu kwenye hii topic?hili la kuleta maendeleo si kazi ya mkuu,smh
Unaamini hichi kigezo cha talent ndicho kilichotumika kupata viongozi wa sasa??mbona wengi hawasikiki Kama wa Dar
Unajua pale juu umetaja kada(nafasi) tofauti kama watendaji wa Halmashauri na Wakuu wa Mikoa.Unaamini hichi kigezo cha talent ndicho kilichotumika kupata viongozi wa sasa??mbona wengi hawasikiki Kama wa Dar
Kwa hivyo nawewe unaamini kazi ya kuleta maendeleo imeketazwa kisheria au/na kimaadili ya umma kufanywa na mkuu wa mkoa ndani ya mkoa wake?
Unafikiri akipata wawekezaji kwenye kuwekeana mikataba au kutia saini MOU waziri wa mambo ya nje na/au wa viwanda (kama uwekezaji ni viwanda) hawatahusishwa?
Upo sahihi kabisa kwa kuwapa mafunzo kuwaandaa kama professionals tutapata kipimo cha kuwapimia utendaji wao.sijamaanisha hivyo mkuu,mie topic hii nimelenga kuwa assess wakuu wa mikoa wengine,nimelenga kuchunguza nini kinakosekana ndio nikaona labda ni elimu ya maendeleo inaweza kuwa sababu,
kila mkuu akipata hayo mafunzo then tunakua na fair grounds ya kuwa assess..................labda pia talent ina uzito wake,lakini tuwe na kigezo kimoja kitachotumika kuwachagua wakuu wote kwa hizo talents....,lengo tuwe na comparison ya performance zao ambazo itakuwa fair.....
Unataka kusema hakua na elimu yoyote?