Kila mdada kajazia nyuma, loh

Kila mdada kajazia nyuma, loh

That is mapambo kwa wanaume so lazima yajaradiwe na kunakishiwa kichina china ili yalete attraction kwa wanaume.
 
Eti nasikia ukishika wezere ikiwa 'ngumu' mchina, ikiwa 'laini' kitu natural
 
AAAAAhhhh! kumbe hiyo asilimia 85% ni ya mkoa wa mwanza.wengine tuko huku kilimanjaro haitimii.labda tuiweke kwenye vitambi.
Embu tudiskasi hii ki2? Asilimia 85 ya kina dada wamejazia makalio yao hadi wengine unawaonea huruma kama yanawaelemea vile, au kuna aina ya chakula wanakula ambacho kinakuza iyo mambo? Hapa nipo chuo kikuu cha sauti mwanza, nimechoka kuona hizi mambo asee, kila mdada kajazia ile mbaya
 
hii mada imejaa watoto lol

lakini hivi kweli kuna mchina dawa zinazoongeza viungo vya mwili ama ni porojo za mtaani,kama zipo dawa zitajeni mie natala kuongeza miguu niwe na guu la bia
 
Embu tudiskasi hii ki2? Asilimia 85 ya kina dada wamejazia makalio yao hadi wengine unawaonea huruma kama yanawaelemea vile, au kuna aina ya chakula wanakula ambacho kinakuza iyo mambo? Hapa nipo chuo kikuu cha sauti mwanza, nimechoka kuona hizi mambo asee, kila mdada kajazia ile mbaya

Bandika picha tuthibitishe isijekuwa unawasingizia!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom