Yatawaua hayo ------ yani mtu na akili zako ukose umakini kisa ------ mbona kuna wanaume kibao wana ------ hips na viuona vimebinuka hamuwaoni siyo dili wa nini acheni ujinga sameni wapumbavu nyie wenzenu ulaya wanayatoa nyie huku matakomatako nendeni kule maskini wa akili na ufikiri na ufahamu wangalieni kama mamwehu vile kachomeni sindano na nyie yavimbe hamna haya wanaume wazima eti mikono mifukoni kama si ujinga nini huo,
Mnapenda mpk choo...........!
Kama cha kwako nimekipenda kweli,nikikutana nawe lazima nikufungie ndani
Angalia vyoo vingine kuna uterez.........mtaangukia pua.
Teh teh teh mkuu miss strong bana! kwahiyo tuingiapo vyoo hivyo tuwe na tahadhari. :A S shade:
Pigia mstari.
mambo yanavutia kweli acheni tuu wavae hivyo vimini
Genye zitakuuaEmbu tudiskasi hii ki2? Asilimia 85 ya kina dada wamejazia makalio yao hadi wengine unawaonea huruma kama yanawaelemea vile, au kuna aina ya chakula wanakula ambacho kinakuza iyo mambo? Hapa nipo chuo kikuu cha sauti mwanza, nimechoka kuona hizi mambo asee, kila mdada kajazia ile mbaya
miss strong na wewe unayo ya haja nini hadi tutolio akata akubakue eeeh!
Endelea kuwaangalia tu usisome.
Teh teh teh.......uchafuz tu ndugu yngu.Mtu mwenyewe anamkaribia baba yngu kwa umri ss ni nn hasichokijua?
Unazungumzia kama hili hapa au?
Kama ni lenyewe bora wale mlio mashuleni msome maana litawafanya mdisco na wale wakata shingo wakiendesha magari mtasababisha ajali na nyama yenyewe usiipate. Love and cherish what you already have!!! Tamaa zitatumaliza? Kama unapenda large boots utasarandia wangapi? Wachina at work vs nature!!!
duh. Siku izi wazee wanataka dogo dogo bana.. na nyie wenyewe saizi zenu mnawapiga danana kisa hawana pesa. Ila kua imara kama ulivyo jiita.
Katika makubaliano haina mbaya...........c unajua kila kitu kulidhia.Moyo jamaniiiiiiiiiiiiiiiiii!
Embu tudiskasi hii ki2? Asilimia 85 ya kina dada wamejazia makalio yao hadi wengine unawaonea huruma kama yanawaelemea vile, au kuna aina ya chakula wanakula ambacho kinakuza iyo mambo? Hapa nipo chuo kikuu cha sauti mwanza, nimechoka kuona hizi mambo asee, kila mdada kajazia ile mbaya