Kila Serikali inavyozidisha mateso dhidi ya Chadema kwanza watu wanazidi kuipenda,hii ndiyo necha ya mwanadamu alivyoumbiwa hukipenda kile kinachodhulumiwa, kuonewa, au kunyanyaswa
Watateka watu, watauwa watawafunga watasitisha ruzuku huku wasijue wanazidi kujijenga chuki kwa wananchi
Mfano angalia nyomi za Chadema hamna watu maarufu kama Diamond wala kusombwa na magari,lakini watu wanaisapoti kutokana na yale madhira wanayofanyiwa Chadema na serikali
Ukija upande wa CCM wajitathimini sana, sawa na kusema wanawalazimisha watu wawapende kutokana fursa wanazowapa, Inabidi itoe hongo ndiyo ipendwe na mapenzi yenyewe watu wanaipenda kwa mda,leo hii hakuna Mbunge au Waziri wa CCM anayeweza kujaza watu bila matangazo ya wasanii
Lakini Mtu wa Chadema asiye na cheo chochote kile anaweza kujaza nyomi ileile pasipo wasanii
Hii ni hatari sana kwa CCM mtawaonga hao watu mpaka lini?
Matajiri wako CCM kwa ajili ya kulinda biashara zao
Viongozi wa Dini kama baadhi ya Waisilamu wako kuisapoti CCM sababu ya njaa maana maisha yao siku zote ni magumu tofauti na Mapadri wenye vyanzo vingi vya kuwaingizia kipato
Watateka watu, watauwa watawafunga watasitisha ruzuku huku wasijue wanazidi kujijenga chuki kwa wananchi
Mfano angalia nyomi za Chadema hamna watu maarufu kama Diamond wala kusombwa na magari,lakini watu wanaisapoti kutokana na yale madhira wanayofanyiwa Chadema na serikali
Ukija upande wa CCM wajitathimini sana, sawa na kusema wanawalazimisha watu wawapende kutokana fursa wanazowapa, Inabidi itoe hongo ndiyo ipendwe na mapenzi yenyewe watu wanaipenda kwa mda,leo hii hakuna Mbunge au Waziri wa CCM anayeweza kujaza watu bila matangazo ya wasanii
Lakini Mtu wa Chadema asiye na cheo chochote kile anaweza kujaza nyomi ileile pasipo wasanii
Hii ni hatari sana kwa CCM mtawaonga hao watu mpaka lini?
Matajiri wako CCM kwa ajili ya kulinda biashara zao
Viongozi wa Dini kama baadhi ya Waisilamu wako kuisapoti CCM sababu ya njaa maana maisha yao siku zote ni magumu tofauti na Mapadri wenye vyanzo vingi vya kuwaingizia kipato