instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 11,384
- 14,203
Nani anaongoza?
Nami nimeuliza
Hawashuki NGO?Nan anaongoza
Nani anaongoza?
Nami nimeuliza
Hawashuki NGO?Nan anaongoza
Twaweza kukisia matokeo, kutokana na mleta uzi kuingia mitini!Nan kashinda wakuu ?!
TehWatu wataumia bure.
Kagera 2 pamba 0
Nani anaongoza?
Mbona Kagera sugar kashinda Kwa kishindoKiutaratibu ikiwekwa hivyo yule anayechezea nyumbani ndiye anayeongoza
Hizo point 6 ilizowanyima simba imewapunguzia nini???😂 😂 😂Nipo na Kagera sugar! Timu inayowanyima mikia pointi 6 kwa msimu lazima tuisapoti!
Ziliwapunguzia pointi, mbona ipo wazi hiyo! Nasikia msimu ujao wapo tena! Mjiandae.....Hizo point 6 ilizowanyima simba imewapunguzia nini???
Usiyempenda karudiIla kutumia playoff kuamua anayepanda kwenye ligi ni uonevu mkubwa period. Mtu ligi kuu imemshinda alafu anatafutiwa mlango mwingine ...uonevu tu
Mkuu umenivnja mbavu mpaka watu wamenishangaa kwenye daladala!!!!Mpaka sasa, Kagera kiboko ya mikia 2, Pamba TP Lindanda 0
Kagera hatokuja kuifunga Simba tena, na siku ikitokea kaifunga Simba basi ndio utakuwa mwisho wa ajira ya CoachUsiyempenda karudi
Hizo point walizopunguza zimeleta athari gani?Ziliwapunguzia pointi, mbona ipo wazi hiyo! Nasikia msimu ujao wapo tena! Mjiandae.....
We nawe!Ila kutumia playoff kuamua anayepanda kwenye ligi ni uonevu mkubwa period. Mtu ligi kuu imemshinda alafu anatafutiwa mlango mwingine ...uonevu tu
Wamekuja na hasira kweli .Kagera hatokuja kuifunga Simba tena, na siku ikitokea kaifunga Simba basi ndio utakuwa mwisho wa ajira ya Coach