unatupa presha tunaotaka kuoa mwaka huu!...naenda kujitambulisha naambiwa mahari bei juu
Rais naye yuko majuu!
Tena wameandaa masanduku ya sadaka ambayo hayaruhusu sarafu kuingia.
we ndiye uliyeandika juu ya paper ya f4 bongo fleva ukaruka na 4 kwahiyo nawewe uko juuunganisheni comments toeni singo,mtauza kishenzi wakuu,maana comments zimekaa ki-songi songi tupu.
ALAN MAPIGO anawasubili.
chorus ni juu juu juu juu kwa juuunganisheni comments toeni singo,mtauza kishenzi wakuu,maana comments zimekaa ki-songi songi tupu.
ALAN MAPIGO anawasubili.
Naenda dukani nakuta sukari bei juu>>Naenda kituo cha mafuta,mafuta nayo bei juu>>Naenda stendi kuu ubungo,nauli nazo juu>>Kama haitoshi vile naenda kwa bosi ofisini.........naambiwa mshahara wangu nao juu,dah sijui itakuwaje mwaka huu,kila kitu juu!