police wameua watu arusha wakasema : Ni bahati mbaya;wakaua Nyamongo wakasema Ni bahati mbaya : wakaua Tabora wakasema "Bahati mbaya "wakaua Mbalali wakasema : bahati mbaya umeme hdarura isiyoisha bahati mbaya umekatika mwanza siki sita usiku na mchana wakasema Bahati mbaya tumechoka kila siku bahati mbaya nawuliza lini itakuwa bahati nzuri ?