Kuna wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna, wakati wa kuzariwa na wakati wa kufa, wakati wa jua na wakati wa masika, wakati wa kupata na wakati wa kukosa, na inatakiwa unatapomwomba Mungu muombe kulingana na wakati hauwezi ukaomba mtoto kabla haujomba ndoa, je? wewe uko kwenye wakati gani? tumuombe Sana Mungu Maadam Anapatikana