Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,100
Kuna wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna, wakati wa kuzariwa na wakati wa kufa, wakati wa jua na wakati wa masika, wakati wa kupata na wakati wa kukosa, na inatakiwa unatapomwomba Mungu muombe kulingana na wakati hauwezi ukaomba mtoto kabla haujomba ndoa, je? wewe uko kwenye wakati gani? tumuombe Sana Mungu Maadam Anapatikana
Kama Umeokoka,na Unapenda Kumtumikia Mungu, Njoo Huku Jukwaa Letu La Dini, Tunahtj Nguvu