Kikwete's 'Maisha Bora kwa Kila Mtanzania'

tupo deteils za picha mkuu, la sivyo haina uzito, utakuwa unaendeleza propaganda zisizo na msingi
 
Mkuu Msemaukweli hebu angalia tofauti za hizo picha, jamaa kalala na kadet, ana tshirt bomba na raba juu halafu kaangalia hako katoto, ni full vumbiii!!!

Limbani, itakuwa vizuri kama umeisha wahi kuutembelea huo mtaa naamini usingesema hivyo. Halafu kumbuka hiyo ni picha moja kati ya nyingi tu ambazo unaweza kuzipiga hapa London. Kuna maeneo kama Victoria, trafalgar square ukipita usiku huwezi kuamini kama uko katika nchi inaitwa ya ulimwengu wa kwanza. Kitu ninachosema, kila nchi ina matatizo na usichukue kama Tanzania ndiyo nchi pekee kuwa na tatizo hili.
 
Mi nadhani huyu mtoto amependa mwenyewe kulala hapo,ingekuwa hajapenda na wazazi wake wangeonekana hapo.
 
ukweli unauma. tunataka maisha bora bana, siyo picha za UK.


Vague demand-Ni maisha bora yapi unayoyataka kwa sababu hata nchi zilizoendelea wananchi wake bado wanadai wanataka maisha bora. You have to lower your expectation kwa sababu hakuna government hapa duniani iliyoweza kukipa perfect maisha bora. I don't like some of CCM policy and they have overstay in power. I want change but I don't believe in having perfect maisha bora.
 
Limbani, itakuwa vizuri kama umeisha wahi kuutembelea huo mtaa naamini usingesema hivyo. Halafu kumbuka hiyo ni picha moja kati ya nyingi tu ambazo unaweza kuzipiga hapa London. Kuna maeneo kama Victoria, trafalgar square ukipita usiku huwezi kuamini kama uko katika nchi inaitwa ya ulimwengu wa kwanza. Kitu ninachosema, kila nchi ina matatizo na usichukue kama Tanzania ndiyo nchi pekee kuwa na tatizo hili.

matatizo ni sehemu ya maisha ni kweli sikupigi hata kidogo yapo kila nchi ok lakin MATATIZO YAMETOFAUTIANA HUWEZI KULINGANISHA MATATIZO YA OXFORD NA MAKETE,SEMA KWELI JAPO INAUMA,MASKINI WA OXFORD TAJIRI WA MAKETE!!!

 
..... malaika wa mungu! hata hivo kikwete ameendeleza aliyo yakuta kwasababu ni mfumo, swala ni walio chagua mfumo!!
 
Najuta kwa nini nimefungua picha hii,machozi yamenilenga,na ninashangaa napoona watu wanadiriki kutetea mfumo mbovu wa uongozi kwa kulinganisha na maskini wa ulaya..!!

Kama mtu umeishi ulaya utakubaliana na mimi kuwa wengi wa masikini kama aliyeonyeshwa hapo juu ama ni mvuta madawa ya kulevya au ni mlevi wa kupindukia hivyo tusitetee mifumo mibovu kwa kusema hata kwingine wako.

La kujiuliza ni vipi serikali yetu imemjengea mwananchi wake mazingira ya kuondokana na umasikini?Hawa wenzetu wana kila aina ya opportunities za kujiwezesha na unapokuta mtu kama huyo mnayemuonyesha mara nyingi huwa anakuwa amejitakia mwenyewe.
 
Mkuu Msemaukweli hebu angalia tofauti za hizo picha, jamaa kalala na kadet, ana tshirt bomba na raba juu halafu kaangalia hako katoto, ni full vumbiii!!!

Mie pia nimeshangazwa na mtazamo wa mwenzetu kuwa hizo picha zinawakilisha hali zinazofanana!
 
tukionekana wagumu wa kuelewa pia tumeendelea kuwa wepesi wa kusahau. Napenda kuuliza, ule mchakato wa wa kumuingiza rais Kikwete madarakani 2005 - kauli mbiu ya ccm ilikua "maisha bora kwa kila Mtanzania". Ninachokiona mimi umasikini unaotukabiri, sisi wana nchi tunaozunguka migodi ya madini nchini?

Wamasai wa longido hawana maji ya bomba toka uhuru, afya ya msingi kwa watoto na akina mama wajawazito ikizorota huku madaktari wakifukuzwa kazi. Licha ya kuwa wamesomeshwa kwa kodi za wananchi maskini wa taifa hili ili wajikomboe katika adui maradhi.

swali langu ni mpaka lini Watanzania tutaendelea kuona wanasiasa walio vipofu watuonyeshe njia ya kupita?

je halitatimia lile alilonena yesu JE KIPOFU AWEZA KUMUONGOZA KIPOFU MWENZAKE?
 
Kama tumefikia hatua ya ku compare Black and White basi nahakika JK yuko sawa hahah uwiiiiii
 
attachment.php


Haya ndiyo maisha bora kwa kila mbunge mjengoni.Hapa kero za wananchi zinashughulikiwa na mbunge makini
Duh!hii kali,yani huyu mbunge ni kweli anabrush viatu wakati wa vikao vya bunge?tukisema bunge is joke mnabisha.
 
Limbani, itakuwa vizuri kama umeisha wahi kuutembelea huo mtaa naamini usingesema hivyo. Halafu kumbuka hiyo ni picha moja kati ya nyingi tu ambazo unaweza kuzipiga hapa London. Kuna maeneo kama Victoria, trafalgar square ukipita usiku huwezi kuamini kama uko katika nchi inaitwa ya ulimwengu wa kwanza. Kitu ninachosema, kila nchi ina matatizo na usichukue kama Tanzania ndiyo nchi pekee kuwa na tatizo hili.
Hao wana matatizo ya ulevi na matumizi ya madawa ya kulevya.
 
03.jpg

The two photos above show an old woman called Loi, in front of and in her house in Ibwaga Village. She has lost her sight with age, and lives with her daughter who is deaf. They normally depend on farming for their livelihood but last year their farm was among many others that were destroyed by the December floods in Kongwa District. At the time photograph was taken they had stock of only ten kilos of "uwere" left.

hapo Kongwa sio kwa Job Ndugai?
 
Kwani ni kipi cha ajabu?

Kwa Tanzania na Africa jambo hilo ni kama kawa na usitegemee hata siku moja wanasiasa hawa wa Africa wanaotegemea kila kitu kutoka kwa wenzetu weupe hata fedha za kampeni.

Usitegemee makubwa sana kwa viongozi wa kiafrika wanaochaguliwa, fanya kazi kwa bidii kama una uwezo wasaidie watu wenye hali kama hizo na sio kutegemea wanasiasa
 
Back
Top Bottom